05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Commissioners: Eeh hiyo ni yako wewe sema.<br />

Jonah: Ili tajiri asiwe na acre elfu moja na hafanyi kitu. Tena mtu amefika biashara kutoka Mombasa mpaka wapi? Na<br />

tukiwacha shamba hata ile manamba ile chokora hatutapata kwa sababu anaambia serikali mimi nataka mahali mini anafanyia<br />

nayeye kazi, anapata. Mimi nataka hii, anapata. Hakuna mtu anajisikilia eti mimi nikitaka kuenda Mombasa nitaaambia county<br />

council ya Mombasa biashara yangu ndiyo hii. Ananipatia. Si niko na kitambulisho ya kusema mimi Mkenya. Si nina<br />

kitambulisho ya Kenya?<br />

Ya pili kitambulisho na kitambulisho ya banki inahitaji mwananchi atoke pesa kila mahali ambaye anaenda. Kama ni Mombasa,<br />

kama ni Kisumu, kama ni wapi atoe pesa yake ama aweke pesa yake.<br />

Com. Asiyo: Asipeleke kule…<br />

Jonah: Asitafute njia. Na tena sikusoma lakini najua sasa wale wamesoma ukiona hii simu imekuja atashida sisi akae kwa<br />

benki mbila sisi (inaudible) Kwa hivyo nimesema shamba iwe ya serikali na serikali ipange mambo ya kilimo na tena nataka<br />

kumwambia (interjection)<br />

Com. Asiyo: Ya mwisho sasa.<br />

Jonah: Nataka kumuambia tutaishi na hii shamba na kusema title deed ni yangu mpaka tunakosa mali sisi tunalima. Kama hii<br />

Mumberech tuliingia watu elfu moja sasa ni karibu watu arobaine elfu tutalima wapi? Si tutagongana? Ajabu kama ningekuwa<br />

free niende kazi ingine. (laughter)<br />

Haya ya mwisho.(interjection)<br />

Com. Asiyo: Tafadhali tusikilize mzee.<br />

Jonah: Wazee kama mimi waheshimiwe. Na iwekwe sheria. Kijana angu nikiwa na ng’ombe analazimisha mimi achukue na<br />

hata kashamba ni kadogo anasema hapana. Hii si yako hata wewe karibu kuingia kushikwa. Kwa nini mtoto ananisika na<br />

nilisomesha? Serikali aone wazee.<br />

Com. Ayonga: Anashika wewe kama bado?<br />

Jonah: Kama bado. Ananishika mimi kama bado. Ya mwisho kabisa, watoto ni watoto. Kama ni msichana ni msichana<br />

yangu. Kama ni kijana ni yangu. Hii wakati si wakati ile. Nikitaka kupatia nyinyi story wa wakati ule nilikuta wazee wetu nina<br />

miaka sitini ile wakati wetu ya mwisho mpaka wakati tunagaa na wabeberu mpaka tumeingia hii wakati wetu tumeingia uhuru<br />

nikitaka kueleza nitaeleza na mta… Lakini wakati wa sasa, msichana amesoma, kijana amesoma na wote ni mali yangu. Hata<br />

kama ningekuwa ya kuoa leo nipate wasichana pekee yake ni watoto wangu. Umesikia?<br />

Com. Asiyo: Kwa hivyo warithi….<br />

Jonah: Kijana usithubutu kuniletea na mali ni yangu. Nikitaka kupatia mtu moja mimi napea. Kijana asipochunga jina lake<br />

apate baraka msichana atachukua baraka. Kwa hivyo ninashukuru Bi Asiyo kukuona wewe kwa sababu nilikusikia zamani<br />

tangu wewe<br />

(Com. Asiyo. Asante sana mzee hata sisi tumeshukuru sana, na wewe ubarikiwe sana)<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!