TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Commissioners: Eeh hiyo ni yako wewe sema.<br />
Jonah: Ili tajiri asiwe na acre elfu moja na hafanyi kitu. Tena mtu amefika biashara kutoka Mombasa mpaka wapi? Na<br />
tukiwacha shamba hata ile manamba ile chokora hatutapata kwa sababu anaambia serikali mimi nataka mahali mini anafanyia<br />
nayeye kazi, anapata. Mimi nataka hii, anapata. Hakuna mtu anajisikilia eti mimi nikitaka kuenda Mombasa nitaaambia county<br />
council ya Mombasa biashara yangu ndiyo hii. Ananipatia. Si niko na kitambulisho ya kusema mimi Mkenya. Si nina<br />
kitambulisho ya Kenya?<br />
Ya pili kitambulisho na kitambulisho ya banki inahitaji mwananchi atoke pesa kila mahali ambaye anaenda. Kama ni Mombasa,<br />
kama ni Kisumu, kama ni wapi atoe pesa yake ama aweke pesa yake.<br />
Com. Asiyo: Asipeleke kule…<br />
Jonah: Asitafute njia. Na tena sikusoma lakini najua sasa wale wamesoma ukiona hii simu imekuja atashida sisi akae kwa<br />
benki mbila sisi (inaudible) Kwa hivyo nimesema shamba iwe ya serikali na serikali ipange mambo ya kilimo na tena nataka<br />
kumwambia (interjection)<br />
Com. Asiyo: Ya mwisho sasa.<br />
Jonah: Nataka kumuambia tutaishi na hii shamba na kusema title deed ni yangu mpaka tunakosa mali sisi tunalima. Kama hii<br />
Mumberech tuliingia watu elfu moja sasa ni karibu watu arobaine elfu tutalima wapi? Si tutagongana? Ajabu kama ningekuwa<br />
free niende kazi ingine. (laughter)<br />
Haya ya mwisho.(interjection)<br />
Com. Asiyo: Tafadhali tusikilize mzee.<br />
Jonah: Wazee kama mimi waheshimiwe. Na iwekwe sheria. Kijana angu nikiwa na ng’ombe analazimisha mimi achukue na<br />
hata kashamba ni kadogo anasema hapana. Hii si yako hata wewe karibu kuingia kushikwa. Kwa nini mtoto ananisika na<br />
nilisomesha? Serikali aone wazee.<br />
Com. Ayonga: Anashika wewe kama bado?<br />
Jonah: Kama bado. Ananishika mimi kama bado. Ya mwisho kabisa, watoto ni watoto. Kama ni msichana ni msichana<br />
yangu. Kama ni kijana ni yangu. Hii wakati si wakati ile. Nikitaka kupatia nyinyi story wa wakati ule nilikuta wazee wetu nina<br />
miaka sitini ile wakati wetu ya mwisho mpaka wakati tunagaa na wabeberu mpaka tumeingia hii wakati wetu tumeingia uhuru<br />
nikitaka kueleza nitaeleza na mta… Lakini wakati wa sasa, msichana amesoma, kijana amesoma na wote ni mali yangu. Hata<br />
kama ningekuwa ya kuoa leo nipate wasichana pekee yake ni watoto wangu. Umesikia?<br />
Com. Asiyo: Kwa hivyo warithi….<br />
Jonah: Kijana usithubutu kuniletea na mali ni yangu. Nikitaka kupatia mtu moja mimi napea. Kijana asipochunga jina lake<br />
apate baraka msichana atachukua baraka. Kwa hivyo ninashukuru Bi Asiyo kukuona wewe kwa sababu nilikusikia zamani<br />
tangu wewe<br />
(Com. Asiyo. Asante sana mzee hata sisi tumeshukuru sana, na wewe ubarikiwe sana)<br />
39