05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Christopher Serem: Majina yangu ni Christopher Serem. Mimi nilikuwa nataka kuchangia kuhusu vijana. Mimi ni kijana na<br />

vile nimeonelea hii serikali yetu tukufu kuhusu vijana sisi tumewacha nyuma. Kuhusiana na hivyo mimi ninaona ya kwamba sisi<br />

vijana nikiwa moja wao nimeona ya kuwa vijana tumeachwa hata kama mimi nimetoa mfano kwangu mimi mwenyewe naweza<br />

toa mfano mwenyewe mimi nimetumikia seriklai kuanzia mwaka wa elfu moja na tisini na tisa nikiwa idara ya NYS,<br />

(interjection)<br />

Com.Asiyo: Unaweza kupendekeza vile ungependa tufanye?<br />

Christopher Serem: Eeh.<br />

Com. Asiyo: Tafadhali fanya hivyo.<br />

Christopher Serem: Nilikuwa nataka kupendekeza ya kuwa vijana kwa sababu tumepewa ujuzi wa kutosha, mimi niko na<br />

ujuzi ya kutosha, mimi nimefunzwa mafunzo ya kijeshi mimi naweza tumia silaha na nimejiendelesha kulingana na ile course<br />

nimechukua niko na ujuzi mbili; niko na ya kijeshi na niko na ile ya….(interjection)<br />

Com. Asiyo: Sasa tufanye namna gani?<br />

Christopher Serem: Serikali imeshidwa kutuajiri sisi.<br />

Com. Asiyo: Sasa tufanye namna gani? Tunataka kukusaidia.<br />

Christopher Serem: Tuunde tume ambaye inasimamia vijana. Eeh iundwe tume ya kusimamia vijana kulingana na kwa sababu<br />

vijana kama mimi nimefunzwa..<br />

Com. Asiyo: Sasa hiyo umesema sasa eleza ingine.<br />

Christopher Serem: Maoni ya pili, ni kuhusu serikali na raia. Raia kweli hawafahamu raia ni nini. Unajua hivyo kweli?<br />

Wacha ni kuulize swali.<br />

Com. Asiyo: Aah usiulize sisi hatutaki kuulizwa kama raia hawajui serikali, utuambie unataka tutafanya nini ili wajue serikali.<br />

Christopher Serem: Wafunzwe wajue wasione ya kuwa tuko mbali na serikali.<br />

Com.Asiyo: Ok. Very good. Next point?<br />

Christopher Serem: That’s all.<br />

Com. Asiyo: Thank you very much Serem tutaona ya kwamba tutapendekeza hiyo mambo umeiasema mtu wa mwisho kwa<br />

karatasi hii ni Willam Chesire. Isipokuwa kama yule Councillor alikuja ingekuwa vizuri kama angekuja akaongea. Nimemuita<br />

sana ule councillor alikuwa anaitwa Nelson Bett sijui alipotelea wapi. Anakimbia tena anaenda jamani? Cllr. Bett please don’t<br />

go away we have been waiting for you all this time and now you are abandoning us here along na watu wanatoloka na<br />

tumemaliza karibu. Wapi ule nimemuita aje aongee? Bw. Chesire yuko? Cllr. Please don’t go how can you abandon us?<br />

Cllr. Bett: Nilikuwa na sindikiza watu.<br />

Com. Asiyo: Now you can talk.<br />

73

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!