05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Cllr. Nelson Bett: Kwa majina naitwa Nelson Bett. Pendekezo langu nitapendekeza kuhusu serikali ambayo ningetaka<br />

kusema napendekeza serikali ya majimbo ambayo tutakuwa na Prime Minister.<br />

Pia ningependekeza kwamba katika hiyo serikali ya majimbo tutakuwa na regional assembly ambaye tutakuwa na wale<br />

wamechaguliwa kutoka region mbali mbali.<br />

Pia ningependekeza katika education ningependekeza kwamba serikali igalamie elimu katika nchi yetu.<br />

Pia katika basic rights ningependekeza kwamba serikali ichunge mali ya mwananchi ikiwa ni kidogo, ikiwa ni kubwa serikali<br />

iwe na mamlaka ya kuchunga mali ya mwananchi.<br />

La mwisho ningependa kusema kwamba kupendekeza kusema kutakuwa na District level ya local authority ambaye local<br />

authority itakuwa ikisimamia resources kutoka every district. Kwa mfano, maji huwa inatoka yaani mahali maji inatoka labda<br />

imetoka katika sehemu moja ya district na inakunyiwa huko Nairobi ama Nakuru ama miji mikubwa mikubwa na<br />

ningependekeza kwamba isiwe kuwa kama resources ya maji isiwe ikisimamiwa na water population ingesimamiwa na local<br />

authority katika district. Ni hayo tu asante.<br />

Com. Asiyo: Tumeshukuru sana sana Councillor kwa maoni yako. Tafadhali ungeandika jina lako, sahihi yako kwa register<br />

yetu ndiyo tunjue hakika uliongea na sisi. Bw. Chesire hayuko? Haya kuna mama mmoja ambaye ataongea…. Chesire yuko?<br />

Kama yuko angekuwa ameshakuja. Wapi huyo mama Julia afike hapa karibu? Jerome? Mama Julia songa hapa karibu<br />

nilisema tusitoka hapa kabla mama hajaongea. Bw. Chesire shika hiyo kitu uongee halafu mama atatufungia. Sema tu kwa.<br />

William Chesire:Kiit ne komoche amwa, omoche amwa ole; kisome serikali kochobwech serikalit ne mining ak ne mi<br />

barak. (Speaks Kalenjin)<br />

Translator: Ile kitu ninaweza penda kusema ni kwamba tungependa serikali atuangalilie kutoka ya chini mpaka ya juu<br />

(interjection)<br />

Com. Asiyo: Sema jina yake.<br />

Translator: Ni William Chesire.<br />

William Chesire:Si kobit kenyoru tuguk che negityin chong’indamik biik che mitei…….. akot akichek eng gaa.<br />

(Speaks Kalenjin)<br />

Translator: Ili tupate vitu vyote vitukarimbie kwa wananchi hapa nyumbani.<br />

William Chesire:Kisome kogeerwech tuguk tugul serikalit amu ngekere kii tugul komuch keyaiwech tuguk<br />

chemokinyoru kou eng fines kobetos ak keyae kasit ako makinyoru kii.(Speaks Kalenjin)<br />

Translator: Tunaomba serikali pia ituangalilie kama mashilika kama cooperative ili tupate faida nazo kwa sababu saa ingine<br />

74

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!