TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Cllr. Nelson Bett: Kwa majina naitwa Nelson Bett. Pendekezo langu nitapendekeza kuhusu serikali ambayo ningetaka<br />
kusema napendekeza serikali ya majimbo ambayo tutakuwa na Prime Minister.<br />
Pia ningependekeza kwamba katika hiyo serikali ya majimbo tutakuwa na regional assembly ambaye tutakuwa na wale<br />
wamechaguliwa kutoka region mbali mbali.<br />
Pia ningependekeza katika education ningependekeza kwamba serikali igalamie elimu katika nchi yetu.<br />
Pia katika basic rights ningependekeza kwamba serikali ichunge mali ya mwananchi ikiwa ni kidogo, ikiwa ni kubwa serikali<br />
iwe na mamlaka ya kuchunga mali ya mwananchi.<br />
La mwisho ningependa kusema kwamba kupendekeza kusema kutakuwa na District level ya local authority ambaye local<br />
authority itakuwa ikisimamia resources kutoka every district. Kwa mfano, maji huwa inatoka yaani mahali maji inatoka labda<br />
imetoka katika sehemu moja ya district na inakunyiwa huko Nairobi ama Nakuru ama miji mikubwa mikubwa na<br />
ningependekeza kwamba isiwe kuwa kama resources ya maji isiwe ikisimamiwa na water population ingesimamiwa na local<br />
authority katika district. Ni hayo tu asante.<br />
Com. Asiyo: Tumeshukuru sana sana Councillor kwa maoni yako. Tafadhali ungeandika jina lako, sahihi yako kwa register<br />
yetu ndiyo tunjue hakika uliongea na sisi. Bw. Chesire hayuko? Haya kuna mama mmoja ambaye ataongea…. Chesire yuko?<br />
Kama yuko angekuwa ameshakuja. Wapi huyo mama Julia afike hapa karibu? Jerome? Mama Julia songa hapa karibu<br />
nilisema tusitoka hapa kabla mama hajaongea. Bw. Chesire shika hiyo kitu uongee halafu mama atatufungia. Sema tu kwa.<br />
William Chesire:Kiit ne komoche amwa, omoche amwa ole; kisome serikali kochobwech serikalit ne mining ak ne mi<br />
barak. (Speaks Kalenjin)<br />
Translator: Ile kitu ninaweza penda kusema ni kwamba tungependa serikali atuangalilie kutoka ya chini mpaka ya juu<br />
(interjection)<br />
Com. Asiyo: Sema jina yake.<br />
Translator: Ni William Chesire.<br />
William Chesire:Si kobit kenyoru tuguk che negityin chong’indamik biik che mitei…….. akot akichek eng gaa.<br />
(Speaks Kalenjin)<br />
Translator: Ili tupate vitu vyote vitukarimbie kwa wananchi hapa nyumbani.<br />
William Chesire:Kisome kogeerwech tuguk tugul serikalit amu ngekere kii tugul komuch keyaiwech tuguk<br />
chemokinyoru kou eng fines kobetos ak keyae kasit ako makinyoru kii.(Speaks Kalenjin)<br />
Translator: Tunaomba serikali pia ituangalilie kama mashilika kama cooperative ili tupate faida nazo kwa sababu saa ingine<br />
74