TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Kiptum arap Binnot:But customs are part of Kenyan laws.<br />
Com. Asiyo: But not inheritance that is a very fundamental issue.<br />
Kiptum arap Binnot: Mwisho watoto wanazaliwa na wazazi wawili. Kwa hivyo whoeveris going to default adhibiwe na<br />
sheria. Asante.<br />
Com. Asiyo: Thankyou very much kijana.<br />
Com.Ayonga: Wewe unasema picha za presidents sizionekane kwa pesa, ukasema tuweke Mt. Kenya?<br />
Kiptum arap Binnot: Nilisema tuweke picha ya the founding president sababu huyo ndiye alianshisa taifa la Kenya ama sivyo<br />
tuweke Mt. Kenya.<br />
Com. Ayonga: Na watu wengine watasema ni ya pande ile Waluyia wengine watasema Elgon, Wajaluo watasema tuweke<br />
samaki, halafu Wakisii watasema sijui waweke nini… si hii sasa italeta shida?<br />
Kiptum arap Binnot: Turudishe ya Mzee Kenyatta mwenye alianzisha taifa la Kenya.<br />
Com. Ayonga: Asante yako yamekwisha ni yako wengine wana yao. Enda ujiandikishe.<br />
Com. Asiyo: Ok Bw Kiptum arap Binnot. Sasa ni Joseph Lebor ana represent DP. Please give us just important points<br />
because you have already written according to the document here just highlight the issues.<br />
Joseph Lebo: Ok thankyou very much Honourable commissioner my names are Joseph Lebo Rob but you have two names<br />
there I would like to use Swahili for the benefit of all. Nimeomba kwamba nitasema kwa Kiswahili mimi nawakilisha kwanza<br />
maoni yangu kama Lebor na maoni ya Koibatek na ndani DP watapeana yao huko. Ya kwanza nasema kwamba katiba<br />
nimeangalia nikapata kutokea Chapter 2 na propose kwamba president na vice president wasiwe na constituency<br />
wachaguliwe direct na Kenya yote.<br />
Ingine inayofuata ni kwamba vile katiba ya sasa imegaa kwa hawa watu wawili napendekeza ya kwamba iendelee hivyo. Kitu<br />
ingine nimeona hapo ni kwamba kuna vitu vitatu executive, parliament na upande wa sheria kwamba itenganishwe ni kitu gani<br />
itakuja kugaa katikati ya hizo vitu vitatu. Napendekeza kwamba uchaguzi wa parliament uendelee vile katiba inasema lakini<br />
nataka kwa katiba ya sasa tuiweke nyumba ingine inayoitwa senate na hiyo senate itawakilishwa naman hii: Senate itakuwa na<br />
senator moja kutoka kila district ya wilaya ambayo iko kwa sasa na siku sijazomtu moja ambaye atachaguliwa na district yote<br />
mzima, moja tu kwa kila district. Tutakuwa na mwakilishi moja kwa kila district kutoka protestant churches ambaye atakuwa<br />
63