05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com.Asiyo: Kwanza jiandikishe pale halafu ukae. Nataka kuuliza kuna mtu moja hapa ambaye angependa kusema kitu<br />

ambaye anaona mtu hajasema? Anaitwa nani? Kitu ambacho hakijasemwa anaitwa Boniface Kimwei. Boniface ulikuwa wapi<br />

wakati huu wote? Hapana hapana tuliita mara nyingi sana.<br />

Com. Ayonga: Sema hicho kitu<br />

Com. Siyo: Kidogo sana na ile haijasemwa<br />

Com. Ayonga: May be majina kwanza.<br />

Boniface Kimwei: Majina yangu ni Boniface Kimwei, ni mwalimu katika hii division. Now yangu ambayo ningpenda<br />

kupendekeza ni kwamba huu, - wakati mtu ako na mali yake kwa shamba lake serikali inaingilia. Hatungependa serikali<br />

iingilie. Mfano wakati uko na mali yako unakuta ya kwamba badala ya wewe ukate ile miti ndiyo wewe utumie, serikali lazima<br />

upate idhini kutoka kwa serikali (interjection)<br />

Com. Asiyo: Hiyoni haki ya serikali na ni vizuri na hiyo ni sheria mzuri sana na tutahimiza hiyo.<br />

Boniface Kimwei: Lakini tungependa kubandilisha hiyo sheria mtu awe ana control mali yake yeye mwenyewe. Jambo la pili ni<br />

kwamba kuna watu ambaye ni disabled, ni viwete. Utakuta wale watu serikali yetu tukufu haizingatii sana. Ningeonelea kwa<br />

maoni yangu ya kwamba serikali yenyewe itenge kiasi fulani cha pesa na ipatiwe katika wizara fulani, ndiyo iwe ikisaidia wale<br />

disabled wawe kama wale Wakenya wengine tuweze kuinua uchumi yetu katika Kenya.<br />

Ya tatu ni kwamba hii sheria inatungwa katika Kenya hii, inaongewa kwa lugha ingine ambayo mwananchi wa kawaida hawezi<br />

elewe. Ningeomba, baada ya kumaliza kutunga sheria hiyo sheria itafusiriwe katika lugha mbali mbali za makabila zetu za<br />

Kenya.<br />

Com. Asiyo: Hiyo tayari imeandikwa na pia itakuwa hivyo.<br />

Boniface Kimwei: Na pia iwekwe mahali ambapo wananchi wanaweza fikia kama District Coordinator awe na moja na<br />

Library (interjection)<br />

Com.Asiyo: Hata huyo alisema itakuwa ofisi yake.<br />

Boniface Kimwei: Jambo la nne ni kuhusu elimu katika nchi yetu. Utakuta ya kwamba elimu katika nchi yetu kila mtu anakuja<br />

na syllabus mwaka huu tunabadilisha hii, mwaka huu tunabadilisha hii, tungependa elimu tuwe na syllabus ingegaa hata miaka<br />

ishirini au ishirini na tano. Lakini si kubadilisha tukifika mwaka huu tunabadirisha ukifika mwana huu tunabadilisha, ukifika<br />

mwaka ule tunabadilisha. Yangu ni hayo asanteni sana.<br />

Com. Ayonga: Kuna neno ambalo tumeambiwa tukoka kila pahali, kwamba usiseme kiwete, si wewe ni mwalimu?<br />

Boniface Kimwei: Yes, Sir.<br />

77

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!