05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Pia nimetoa maoni ya kwamba katika sehemu ya kifedha ni kwamba serikali isaidie katika hali ya ujensi vile kwa ile pesa<br />

inapata kwa wananchi kupitia kwa kodi, isaidie polytechnics, kujenga barabara, health centers na hata miladi ya maji ambazo<br />

ziko katika eneo hilo ambalo limepokea hiyo kodi.<br />

Ingie pia ni kuhusu mambo ya kisiasa nikasema ya kwamba constitution itoe hifadhi za usalama kwa kila kikundi ama kwa kila<br />

political party ingawa hata haina popularity yoyote itoye tu hifadhi zake. That means no political party should be harassed kwa<br />

njia yeyote. Pia nigaandika ya kwamba constitution pia iangalie mambo ya income ya family especially wale hali yao ya<br />

kimaisha iko hali ya chini sana. Yaani wale masikini ambao hawawezi kufanya jambo lolote wale ambao hawawezi hata<br />

kusomesha watoto.<br />

Com. Asiyo: Unapendekeza namna gani?<br />

Ninapendekeza hivi, ya kwamba kila mtumishi wa uma ambaye ameajiriwa katika serikali, katika kampuni, katika mashirika ya<br />

kiserikali, private bodies or international boadies wacontribute percentage fulani katika mshahara wao ili wasaidie hii maskini<br />

hizi familia ambazo hazijiwezi. Tena nikaongeza nikasema hapa ya kwamba, mshahara ya hawa ikapate kuangaliwa. Katika<br />

hiyo itategemea sasa. Hapa nikasema ya kwamba it should be at least not less than 1200 per annum. Kama kwa mfano<br />

waalimu. Tunaona ya kwamba waalimu wetu wanafanya kazi ngumu kuelemisha mpaka hata tukapata wabunge, tukamata<br />

marais lakini bado tunaona ya kwamba mishahara yao ni kidogo na kufuatana na hayo tunaona ya kwamba hakuna mtu<br />

anatetea hao hata ingawa wanatetea hasikiki. (interjection)<br />

Com. Asiyo: Ungesema pendekezo lako tafadhali.<br />

Wilfred: Sasa pendekezo yangu ni hii waalimu, polisi, defence na hata madaktari waongezewe mishahara. At the moment,<br />

mwisho (interjection)<br />

Com. Asiyo: Toa la mwisho.<br />

Wilfred: Haya mwisho pia ningependa kuongea kuhusu mishahara ya wambunge. Tunaona ya kwamba wabunge wanaongeza<br />

mishahara yao huku (interjection)<br />

Com. Asiyo: Wewe tuambie unataka tufanye namna gani?<br />

Wilfred: Kwa sasa tunataka wabunge mishahara yao ipate kupunguzwa ili isaidie sehemu zingine kakika maendeleo ya nchi.<br />

Com. Ayonga: Ipunguzwe mpaka …. (inaudible)<br />

Wilfred: Ipunguzwe kwa kila Mbunge, awe ba elfu mia tatu na minister awe na mia tatu hamsini ikiongezwa na marufuku.<br />

Com. Asiyo: Na ya mwisho?<br />

Wilfred: Ya mwisho ni kuhusu mambo ya worship. Katika Kenya letu tunajua ya kwamba sisi ni waacha Mungu lakini<br />

tunaona ya kwamba uhuru wa kuabundu imeenda mpaka tumeruhusu ibada za masanamu. Na kwa njia ingine tunaona hiyo<br />

inaweza kuwa ni kiboko kutoka kwa Mwenyesi Mungu. Tunependa yaani kulingana na amri za Mwenyesi Mungu ya kwamba<br />

Mungu pekee yake abudiwe. Kwa hivyo tungependa kwamba Wakristo wapewe hiyo waabundu Mungu pekee yake. Hii<br />

mambo ya devil worshipping, masonic ipigwe marufuku katika taifa hili.<br />

42

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!