TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
kwamba amefanya hii. What we want is the future. Not what one has done. Aseme ataenda kufanya hii na hii na hii na hii<br />
nasema tuende secret ballot.<br />
Jambo lingine ninasema miaka mitano na End of tape 2 side A. Cont. Side B: …….<br />
Com. Asiyo: 30% pekee yake?<br />
Job Kandie: 30% tuko wakati huu. Lakini 30% nimesema Madam.<br />
Jambo lingine tumesema ya kwamba ministers sasa inatoa uwezo wa president. Ministers wachaguliwe na Wabunge. Yaani<br />
kazi ya President, nikupropose, ku-recommend kulingana na vile amesoma watu kwamba anaweza kufanya hii. Wakifika<br />
parliament wabunge wanajadiliana kuhusu wale wamekuwa proposed for adoption au reject waende nyumbani. President<br />
ataendelea kupropose wengine mpaka bunge itapata wale ambao wanaweza kutuongoza katika wizara zetu.<br />
Com. Asiyo: Sasa hao watuwa wizara, nataka utuambie watakuwa ni watu professionals wasiochaguliwa au watakuwa ni<br />
wabunge wenyewe watajichagua?<br />
Job Kandie: Watakati watu wamechaguliwa kutoka constituencies, the president at his will ana propose wale wangependa<br />
kuchukua mamlaka ya waziri. Kufika huko parliament bunge itakutana na kujadili hao watu. (Com. Asiyo: wa wale MPs?) Wa<br />
wale MPs. Kwanza wanakuwa MPs, hakuna minister anaweza kuwa huko. Wale wamechaguliwa wawe Wabunge, president<br />
ata propose kwa wabunge huko wajadiliane huyu anaweza au hapana? Na wanauwezo ya kukataa. This is actually total<br />
democracy. Rather than somebody saying so and so is the minster for agriculture na yeye hana akiri yalienda ya forest. That is<br />
misplacement of knowledge.<br />
Com. Asiyo: Haya endelea mbele. Karibu saa yako inaenda sasa.<br />
Job Kandie: Tafadhali niliona unapea wengine karibu dakika kumi na tano. Allow me. I am putting very strong points.<br />
(laughter)<br />
Com. Ayonga: Mzee angalia hawa watu wengine wanataka kuongea.<br />
Job Kandie: Nikibize tafadhali. Yes, Leadership, qualification of who is to be a councillor and which level of eduction. Yule<br />
ataenda parliament ako na elimu gani. Kuna tofauti tofauti kabisa ya uongozi na kufanya kazi. Mimi nilikuwa mwalimu lakini<br />
nilienda course ni kafaulu nikaenda kufunza. That is professional certificate ambaye nilikuwa naye. Ka hivyo uongozi ni tofauti<br />
na kazi. Kwa hivyo historia inaweza ku-repeat itself. Tumekuwa Hamrabi the law giver of Babylon he made 82 laws for his<br />
people. Alienda shule wapi? Tumekuwa na (inaudible) ya Wanandi Chairman of the council of elders, Lwanda Magere of<br />
Luos; Sagawa Oguchi, Lenana of Maasai; Waiyaki of Kikuyu; Wang’ombe wa Embu – Meru; Nikendilili alikuwa mama<br />
alikuwa mama pekee yake wa Giriama hawa walikuwa viongozi katika wakati huo huo walisomea wapi? Juzi juzi tumekuwa na<br />
Martin Lurther King haya ule anaitwa Abraham Lincoln hata ukienda dollar ya America kichwa yake iko huko. Kwa hivyo<br />
36