05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kwamba amefanya hii. What we want is the future. Not what one has done. Aseme ataenda kufanya hii na hii na hii na hii<br />

nasema tuende secret ballot.<br />

Jambo lingine ninasema miaka mitano na End of tape 2 side A. Cont. Side B: …….<br />

Com. Asiyo: 30% pekee yake?<br />

Job Kandie: 30% tuko wakati huu. Lakini 30% nimesema Madam.<br />

Jambo lingine tumesema ya kwamba ministers sasa inatoa uwezo wa president. Ministers wachaguliwe na Wabunge. Yaani<br />

kazi ya President, nikupropose, ku-recommend kulingana na vile amesoma watu kwamba anaweza kufanya hii. Wakifika<br />

parliament wabunge wanajadiliana kuhusu wale wamekuwa proposed for adoption au reject waende nyumbani. President<br />

ataendelea kupropose wengine mpaka bunge itapata wale ambao wanaweza kutuongoza katika wizara zetu.<br />

Com. Asiyo: Sasa hao watuwa wizara, nataka utuambie watakuwa ni watu professionals wasiochaguliwa au watakuwa ni<br />

wabunge wenyewe watajichagua?<br />

Job Kandie: Watakati watu wamechaguliwa kutoka constituencies, the president at his will ana propose wale wangependa<br />

kuchukua mamlaka ya waziri. Kufika huko parliament bunge itakutana na kujadili hao watu. (Com. Asiyo: wa wale MPs?) Wa<br />

wale MPs. Kwanza wanakuwa MPs, hakuna minister anaweza kuwa huko. Wale wamechaguliwa wawe Wabunge, president<br />

ata propose kwa wabunge huko wajadiliane huyu anaweza au hapana? Na wanauwezo ya kukataa. This is actually total<br />

democracy. Rather than somebody saying so and so is the minster for agriculture na yeye hana akiri yalienda ya forest. That is<br />

misplacement of knowledge.<br />

Com. Asiyo: Haya endelea mbele. Karibu saa yako inaenda sasa.<br />

Job Kandie: Tafadhali niliona unapea wengine karibu dakika kumi na tano. Allow me. I am putting very strong points.<br />

(laughter)<br />

Com. Ayonga: Mzee angalia hawa watu wengine wanataka kuongea.<br />

Job Kandie: Nikibize tafadhali. Yes, Leadership, qualification of who is to be a councillor and which level of eduction. Yule<br />

ataenda parliament ako na elimu gani. Kuna tofauti tofauti kabisa ya uongozi na kufanya kazi. Mimi nilikuwa mwalimu lakini<br />

nilienda course ni kafaulu nikaenda kufunza. That is professional certificate ambaye nilikuwa naye. Ka hivyo uongozi ni tofauti<br />

na kazi. Kwa hivyo historia inaweza ku-repeat itself. Tumekuwa Hamrabi the law giver of Babylon he made 82 laws for his<br />

people. Alienda shule wapi? Tumekuwa na (inaudible) ya Wanandi Chairman of the council of elders, Lwanda Magere of<br />

Luos; Sagawa Oguchi, Lenana of Maasai; Waiyaki of Kikuyu; Wang’ombe wa Embu – Meru; Nikendilili alikuwa mama<br />

alikuwa mama pekee yake wa Giriama hawa walikuwa viongozi katika wakati huo huo walisomea wapi? Juzi juzi tumekuwa na<br />

Martin Lurther King haya ule anaitwa Abraham Lincoln hata ukienda dollar ya America kichwa yake iko huko. Kwa hivyo<br />

36

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!