TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Translator: Kwa barabara tunakuta mtu ameishi juu ya milima<br />
Kipsang arap Ngetich:Ko chichoto anyun ko mokimoche keyai oret ne kitonon kotokchi kei korenyi. (speaks Kalenjin)<br />
Translator: Na kwa hivyo hatuhitaji tutengeneze ile barabara inapanda milima ili aende kwake kwa yule mtu amejenga juu ya<br />
milima.<br />
Kipsang arap Ngetich:Kimoche ngo koyemei barabaret tulwet konyil akot taman si koit korenyi , koyem. (speaks<br />
Kalenjin)<br />
Translator:Tungependa kama hiyo barabara itengenezwe izunguke ili ifikie mwenye ako juu ya milima.<br />
Kipsang arap Ngetich: Ko nguno kokakosob chichoto makoruei garinyi timin.(speaks Kalenjin)<br />
Translator: Kwa sababu: hiyo huyo mtu sasa atakuwa amepata nafuu kwa kupata hiyo njia.<br />
Kipsang arap Ngetich:Ago Kakosob emet kora amu matakoib nyugunyek beek.(speaks Kalenjin)<br />
Translator: Na hata miji itapona pia kwa sababu mnyonyoko ya undogo haijabembwa.<br />
Kipsang arap Ngetich: Matinye chetia ngoberurok Jeovah(speaks Kalenjin)<br />
Translator: Sina mengi Mungu awabariki.<br />
Com. Asiyo: Asante sana mzee kwa maoni yako tumeshukuru sana hukutuambia kwamba umeongea kwa niaba ya wazee<br />
wengine lakini hapa imeandikwa hivyo. Kwamba utaongea juu ya wazee wengine. Sasa na mwita Bw. Sylvester Keitany kama<br />
yuko. Lakini kulikuwa na yule Walter Rotich sijui kama amerudi ama bado hajarudi. Bw. Rotich yuko? Ok Sylvester tafadhali<br />
kuja uongee na sisi.<br />
Sylvester Keitany: Madam Commissioner, Mheshimiwa Asiyo, Ndugu Zablon Ayonga I think firstly I would like to welcome<br />
you all to Mumberech and say feel free, too, with your brothers and sisters of this place. Firstly Madam Commissioner, I have<br />
a memorandum and I will represent later to whoever will be handling the memorandums. I think mine is dealing on political<br />
parties. Political parties Madam Commissioner, according to what I am seeing should be mobilizing public on productive<br />
activities other than politicing only. Second there should not be any financial funding of any kind to any political party. If<br />
somebody is ready to register his or her own party then I think he or she will be able to fund his own party but not from public<br />
funds.<br />
On Legislature, what will be my proposal Madam Commissioner, the following appointment be taken by parliament.<br />
Appointment of ambassadors, permanent secretaries, central bank governors.<br />
Three, MPs should have full time occupation rather than current three days a week because they are also getting salaries from<br />
public funds and they should account for what they are getting in parliament. Moral and ethical qualifications be introduced for<br />
parliamentary candidates madam Commissioner. There should be a commission whose responsibility is reviews salaries of all<br />
civil servants and MPs inclusive considering the state of economy of the country.<br />
9