05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Walter: Nikitaka hapo kufafanua, (interjection)<br />

Com. Asiyo: Hakuna haja. Tumemaliza. Sasa weka jina lako mzee hakuna mambo mengi. Tumejua ile ya kindani<br />

tumeandika na jina lako wewe uandike yako kwa register. Sasa Bw. Jeremiah unaweza kuja saa hii sasa ni wakati wako.<br />

Jeremiah Kiprono: Katiba ya leo, jina naitwa Jeremiah Jeruit Kiprono. Mimi nina maneno mawili. Ya kwanza maoni yangu<br />

ningependekeza, serikali inakamatia sisi shule kuanzia nursery mpaka university. Halafu hata sisi tutaingia cost sharing. Sisi<br />

tutalipa kodi kama zamani. Hiyo ya kwanza.<br />

Ya pili, napendelea tuchague watu wa mitaa halafu wanakuwa sub-chief; unachagua sub-chief kupitia mlolongo na chief ya<br />

location kwa maana sub-chief itakuwa daraja ya raiana serikali. Na sub-chief lazima awe na miaka ishirini na tano, na chief<br />

awe na miaka thelathini. Kwa maana siku hizi kunaandikwa wale watu ambao hawajui kitu hata baraza hawawezi kupata wale<br />

wanaenda retire. Sasa maoni yangu kuandikwe ule mtu amekoma.<br />

Com. Asiyo: Kwa assistant chief au chief mwenyewe?<br />

Walter: Assistant chief au chief.<br />

Com. Asiyo: Hiyo tumandika hiyo. Hiyo ingine?<br />

Walter: Hakuna ingine.<br />

Walter: Asante sana mzee. Umesema mzuri. Na watu wengi sana wametueleza mambo hayo wa machief tutaona vile fikira wa<br />

watu wengi wa Kenya itakuwa na itakuwa vile watu wengi wa Kenya wanavyopendekeza. Asante sana.<br />

Com. Ayonga: Mtu wa miaka ishirini amekomaa?<br />

Walter: Ishirini na tano. Hapana baya kama 18.<br />

Com. Asiyo: Wale wa 18 bado hawajakomaa. Com. Ayonga (inaudible)<br />

Walter: Bado.<br />

Com. Asiyo: Asante sana sasa wewe andika jina lako pale mzee halafu kama ulikuwa na maandishi utuachie. Kwa wakati<br />

huu namuita Bw. Hosea Kiplagat. Na yeye ni member wa AFCS hayuko? Kuja kuja. (voice: not yet ready) Mzee bado<br />

31

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!