TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Walter: Nikitaka hapo kufafanua, (interjection)<br />
Com. Asiyo: Hakuna haja. Tumemaliza. Sasa weka jina lako mzee hakuna mambo mengi. Tumejua ile ya kindani<br />
tumeandika na jina lako wewe uandike yako kwa register. Sasa Bw. Jeremiah unaweza kuja saa hii sasa ni wakati wako.<br />
Jeremiah Kiprono: Katiba ya leo, jina naitwa Jeremiah Jeruit Kiprono. Mimi nina maneno mawili. Ya kwanza maoni yangu<br />
ningependekeza, serikali inakamatia sisi shule kuanzia nursery mpaka university. Halafu hata sisi tutaingia cost sharing. Sisi<br />
tutalipa kodi kama zamani. Hiyo ya kwanza.<br />
Ya pili, napendelea tuchague watu wa mitaa halafu wanakuwa sub-chief; unachagua sub-chief kupitia mlolongo na chief ya<br />
location kwa maana sub-chief itakuwa daraja ya raiana serikali. Na sub-chief lazima awe na miaka ishirini na tano, na chief<br />
awe na miaka thelathini. Kwa maana siku hizi kunaandikwa wale watu ambao hawajui kitu hata baraza hawawezi kupata wale<br />
wanaenda retire. Sasa maoni yangu kuandikwe ule mtu amekoma.<br />
Com. Asiyo: Kwa assistant chief au chief mwenyewe?<br />
Walter: Assistant chief au chief.<br />
Com. Asiyo: Hiyo tumandika hiyo. Hiyo ingine?<br />
Walter: Hakuna ingine.<br />
Walter: Asante sana mzee. Umesema mzuri. Na watu wengi sana wametueleza mambo hayo wa machief tutaona vile fikira wa<br />
watu wengi wa Kenya itakuwa na itakuwa vile watu wengi wa Kenya wanavyopendekeza. Asante sana.<br />
Com. Ayonga: Mtu wa miaka ishirini amekomaa?<br />
Walter: Ishirini na tano. Hapana baya kama 18.<br />
Com. Asiyo: Wale wa 18 bado hawajakomaa. Com. Ayonga (inaudible)<br />
Walter: Bado.<br />
Com. Asiyo: Asante sana sasa wewe andika jina lako pale mzee halafu kama ulikuwa na maandishi utuachie. Kwa wakati<br />
huu namuita Bw. Hosea Kiplagat. Na yeye ni member wa AFCS hayuko? Kuja kuja. (voice: not yet ready) Mzee bado<br />
31