05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Jacob Kipsui: Si vile watu wanasema? Na hiyo ikiwekwa yaani nilichangia hata kama nimelopoka baya…<br />

Com. Asiyo: Umesema vizuri .<br />

Jacob Kipsui: Hiyo nikiona hiyo ni kama kubomoa manyumba. Kwa maana siwezi kubali nikalie kiti ya mama na mama<br />

akuje akalie kiti yangu.<br />

Com. Asiyo:Eeh hata watu wataona vizuri ikiwa hivyo.<br />

Jacob Kipsui: Kama watu hawatafurahi ninamalizia hapo. Wacha sheria ya mama ikae kama mama na baba akae kama baba.<br />

Yule mlevi, yule mtu ambaye anaamka asubuhi<br />

Com. Asiyo: Asaidiwe?<br />

Jacob Kipsui: Eeh asaidiwe.<br />

Com. Asiyo: Haya asante. Umefanya vizuri sana mambo hayo mzee equality hiyo watu wanaongea kwa Kiafrika ni kwamba<br />

mama akiwa mgonjwa ama ameenda maternity kuzaa usiache watoto na njaa. Mambo kama hayo tangu zamani babu zetu<br />

walikuwa wanafanya si mpya. Si ndiyo ni kweli?<br />

Jacob Kipsui: Ni kweli. Yale sheria ilikuwako tangu zamani tangu wakati wa babu zetu ikae vile vile. Kama mama<br />

amejifungua, mzee amsaidie. Kama mama ni mgonjwa, baba amsaidie. Lakini kama kila mmoja ni mzima kila mtu akalie kiti<br />

yake, kazi yake.<br />

Com. Asiyo: Bora tu akina mama wasiumie kwa kazi yao.<br />

Jacob Kipsui: Sindio. (laughter)<br />

Com. Asiyo: Maana wanaumia sana. Asante sana jiandikishe pale vizuri na sasa tunataka kuna mtu hapa anaitwa Geoffrey<br />

Ngulati. Ukimaliza tutachukua Tessot Esau. Esau kuja hapa karibu tafadhali tunashukuru ukiwa karibu hapo. Haya ongea sasa<br />

anza na jina lako.<br />

Geofffrey Ngulat: Haya, Commissioners mimi ni Geoffrey Ngulat. So issue yangu inahusika na tenure ya elected officials na<br />

appointed officials. And when I am talking about the elected officials, I am talking about people like councillors, MPs and<br />

whatever.<br />

Appointed officials are people like chiefs, DOs, DCs and what ever. We should have a system of disciplinary committee or<br />

something like that or the complains committee, where some people misuse office for various reasons may be favourism,<br />

57

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!