TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Jacob Kipsui: Si vile watu wanasema? Na hiyo ikiwekwa yaani nilichangia hata kama nimelopoka baya…<br />
Com. Asiyo: Umesema vizuri .<br />
Jacob Kipsui: Hiyo nikiona hiyo ni kama kubomoa manyumba. Kwa maana siwezi kubali nikalie kiti ya mama na mama<br />
akuje akalie kiti yangu.<br />
Com. Asiyo:Eeh hata watu wataona vizuri ikiwa hivyo.<br />
Jacob Kipsui: Kama watu hawatafurahi ninamalizia hapo. Wacha sheria ya mama ikae kama mama na baba akae kama baba.<br />
Yule mlevi, yule mtu ambaye anaamka asubuhi<br />
Com. Asiyo: Asaidiwe?<br />
Jacob Kipsui: Eeh asaidiwe.<br />
Com. Asiyo: Haya asante. Umefanya vizuri sana mambo hayo mzee equality hiyo watu wanaongea kwa Kiafrika ni kwamba<br />
mama akiwa mgonjwa ama ameenda maternity kuzaa usiache watoto na njaa. Mambo kama hayo tangu zamani babu zetu<br />
walikuwa wanafanya si mpya. Si ndiyo ni kweli?<br />
Jacob Kipsui: Ni kweli. Yale sheria ilikuwako tangu zamani tangu wakati wa babu zetu ikae vile vile. Kama mama<br />
amejifungua, mzee amsaidie. Kama mama ni mgonjwa, baba amsaidie. Lakini kama kila mmoja ni mzima kila mtu akalie kiti<br />
yake, kazi yake.<br />
Com. Asiyo: Bora tu akina mama wasiumie kwa kazi yao.<br />
Jacob Kipsui: Sindio. (laughter)<br />
Com. Asiyo: Maana wanaumia sana. Asante sana jiandikishe pale vizuri na sasa tunataka kuna mtu hapa anaitwa Geoffrey<br />
Ngulati. Ukimaliza tutachukua Tessot Esau. Esau kuja hapa karibu tafadhali tunashukuru ukiwa karibu hapo. Haya ongea sasa<br />
anza na jina lako.<br />
Geofffrey Ngulat: Haya, Commissioners mimi ni Geoffrey Ngulat. So issue yangu inahusika na tenure ya elected officials na<br />
appointed officials. And when I am talking about the elected officials, I am talking about people like councillors, MPs and<br />
whatever.<br />
Appointed officials are people like chiefs, DOs, DCs and what ever. We should have a system of disciplinary committee or<br />
something like that or the complains committee, where some people misuse office for various reasons may be favourism,<br />
57