TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
kwa hapo karibu ametatua yangu chache. Kwa hivyo kazi ni rahisi kwangu. Na ninashukuru Mungu kwa sababu uongozi ni ya<br />
Mungu. Na leo ni kama sawa sawa Mungu ameshuka vile Musa alileta amri kutoka sinaa. Na Mungu anapenda sisi Wakenya<br />
sana. Kwa sababu ametupatia sisi tutatue tunajua ni gani na gani. Kwa hivyo sitachukua sana ni kusema juu ya rais.<br />
Rais achaguliwe kama vile ilivyo hata sasa kwa sasa ambayo in ya nani. Lakini, iko kitu moja ambayo ninahitaji niweke moja<br />
tu. Rais nahitaji rais mwenyewe, akikosa asifukuzwe na Wabunge. Raia ajulishe na makosa yake, kama makosa imeshika yeye<br />
aondoke. Kwa sababu waamue kwa sababu wakiacha mwizi na yeye amesimamia wizara zote, akiona wizara hii ni baya si<br />
atengeneze? Na asifikilie mwizi. Akisosa wizara zote akikosa rais amekosa. Na wabunge wawe wasaidizi wetu wa hudumie<br />
Wakenya kwa jumla. Kwa hivyo rais aondoke. Na neno ingine, Wakenya wote mahali wako ni moja.hakuna ule anajulikana<br />
eti mwingine ni wa pande gani. Nataka kuwambia sili nyinyi wananchi. Unaona viwete wanakuwa wengi, ni kwa sababu<br />
mmeona tu hapo mpaka mmeharibika. (laughter) Wakati mwingine leta msichana huko, leta nini huko ndiyo unaona watu<br />
wameharibika kichwa. (laughter)<br />
Com. Ayonga: Endelea.<br />
Com. Asiyo: Tutaleta msichana kutoka wilaya ingine endelea tu.<br />
Yangu ya pili, elimu. Kwa Kenya elimu imesonga. Ninaona nikipima ni miaka arobaini ya Kenya kusoma. Kwa hivyo ina<br />
elimu ha kutosha. Hakuna nchi imbayo iko kama Kenya na watu wamesoma. Kwa hivyo watoto kutoka nursery mpaka<br />
university serikali isimamie masomo na mwananchi asimamie kitu kidogo tu. (clapping) Sababu ukisema eti mimi nisomeshe<br />
watoto nimelima shamba mpaka shamba imekwisha. Kwa hivyo serikali ichukue masomo kwa jumla.<br />
Ya tatu hospitali. Ile sisi tunalipa elfu mia tano ni ile sisi tulisomea. Kwa hivyo hata mchumari ukiingia ndani ilipwe shilingi mia<br />
tano na ni mtoto wangu na nilisomesha nilipeleka mpaka ng’ambo? Kwa hivyo hospitali ichukuliwe na serikali na mshahara ya<br />
daktari aone asije apelekwe ng’ambo ingine apatiwe pesa ya kutosha.<br />
Jonah: Ya nne, ni mambo ingine ambayo sijui mimi najua mtu (interjection: inaudible) nimependekeza namna hii kwa hakika<br />
kifo?? ametuua sana na kwa sababu jambo moja utajiri imetumaliza. Unaona tajiri anauwawa, police anauwawa, kila mtu<br />
anauwawa kwa sababu kwa kukosa mahali, mwizi anauwawa. Watu tatu wameleta kifo katika nchi hii. Na kama angekuwa hii<br />
title aondolewe, watu wetu wamesoma, tuna wenye kuchunga ng’ombe vetinary, tuna agriculture, tuna heath, tuna wabiashara<br />
na hii maneno tunazungumza si yetu hata sasa, ni ya kuanza miaka kumi na tano na elfu mbili. Si ya sasa ya kusema kesho<br />
tumebomoa hiyo tumerudisha title, lakini, (interjection)<br />
Com. Asiyo: Tufanye namna gani?<br />
Jonah: Tunahitaji mashamba iwe mkono ya serikali nikihitaji kulima kutoka hapa mpaka huko, serikali ananipatia. Ili namna hii,<br />
hiyo ni mapendekezo yangu,<br />
38