TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Jacob Kipsui: Asiingie kwa sector yoyote kama amekosa kosa fulani aondolewe. Kuna vijana ambao wamesoma.<br />
Com. Asiyo: Haya next?<br />
Jacob Kipsui: Na jambo la mwisho ni mambo hii ya kuajiri vijana kazi. Kuna kitu inaitwa favourism. Eti kijana anenda<br />
kuomba kazi kwa kituo fulani unasikia eti yule anayesimamia hiyo kazi ya kuajiri vijana eti anasema unajua nani? Akiwa huku<br />
juu, kijana nasema sijui mtu yeyote na kuja kuomba kazi anaambiwa jaribu next year. Sasa kama familia hawajapata mtu<br />
kuwakilisha huko ofisi kubwa kubwa hiyo familia ibaki na umasikini hiyo hiyo tu?<br />
Com. Asiyo: Kwa hivyo unataka namna gani mzee?<br />
Jacob Kipsui: Iangaliwe masilahi ya kila mmoja. Hata kama ni maskini, hata kama ni tajiri iwe ni masilahi moja.<br />
Com. Asiyo: Mambo ya employment?<br />
Jacob Kipsui: Mambo ya employment asije isiwe eti fulani ako na kubwa fulani kwa hivyo aandikwe huyo.<br />
Com. Asiyo: Asante sana next?<br />
Jacob Kipsui: Ingine tunasikia eti, naomba ladhi najua wengi watasikia vibaya, lakini nitasema, mambo ya kusema equality.<br />
Equality kwa kazi ni sawa lakini kwa mboma ama nyumba, nyumba ya watu mama ajue akiwa nyumbani yeye ni mama, na<br />
baba ajue yeye ni baba.<br />
Com. Asiyo: Hata kama ni mlevi?<br />
Jacob Kipsui: (not very audible) Mambo ya ulevi hata mama analewa, hata baba analewa mambo ya ukubwa kila mtu akae<br />
na hali yake. Nikichangia hivyo nikisemekana eti bwana na bibi wawe sawa na nyumba itapolomoka (interjection: inaudible)<br />
Mama wawe wakitabulikana kwa kupika. (laughter) Hiyo<br />
Com. Asiyo: Hiyo umesikia wapi mzee? Hata mimi ni mama na bado sijasikia.<br />
Jacob Kipsui: tunasikia hiyo mambo inasemekana eti mama akipika saa sita mzee jioni.<br />
Com. Asiyo: Lakini mzee hebu nikuulize, sasa hata hii mambo ndogo ndogo ya kupika tutaweka kwa katiba kweli?<br />
56