05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Gabriel Korir: Asante. La mwisho ni kuhusu habari ya worship. Yaani neno la Mungu liweze kuendelea kwa sababu hatujui<br />

ya kwamba government ambayo intakuja itakua namna gani. Neno la Mungu liweze kuendelea kubamba vile ilivyo na neno la<br />

Mungu tuweze kuhubiri kila mahali hiyoni jambo la mwisho. Asante.<br />

Com. Asiyo: Thankyou very much Gabriel sasa tunamuuliza Bw. Samuel Bunei aje hapa mbele aongee. Na Samuel akishaa<br />

ongea kuna wamama wengine wamekuja hapa na wanasema wao ni observer. Mimi nitawaita na mtakuja muongee na mimi.<br />

Kuna mama anaitwa Julia Jeptoo ajitayarishe nitamwita akuje aongee. Rebecca Kibet nataka uongee na mimi kabla sijaenda ka<br />

maana nyinyi bado ongea na mimi na hatuwezi kutoka hapa kabla hatujasikia sauti ya akina mama kwa hivyo mjitaarishe nyinyi<br />

nyote wamama mnagaa hapo mtaongea. Haya endelea.<br />

Samuel Bunei: Thankyou Bw.Commissioner yangu ni oral lakini ningetaka kutumia lugha ya Kiingereza na Kiswahili kwa<br />

sababu kuna wazee hawaelewi na kuna vitu zingine (interjection)<br />

Com. Asiyo: No, no (inaudible)<br />

Com. Ayonga: Tafadhali hii si baraza ambayo umekuja leo ya kuongelesha watu kwa hivyo tunataka useme maneno yako kwa<br />

Kiswahili na maneno iishe namna hivyo. You are talking to us<br />

Samuel Bunei: Basi I am going to use English.<br />

Com Ayonga: Ok, Ni juu yako uchaguzi ni wako lakini ile lugha unajisikia unasema sawa sawa utumie hiyo.<br />

Samuel Bunei:My name in full is Samuel Bunei. My first point I am going to talk about Directors. In the past we have had a<br />

problem in this country because of directors of various sectors, the Director of KMC, that is Kenya Meat Commission,<br />

something somewhere happened and then the collapse of KMC happened. The repeat came to KFA It was changing from<br />

KFA to KGGCU so and it was because of a certain Director who was transfered from one point to another one. So my<br />

proposal is this, any Director who mess up with govt. property should not be tranfered to another sector. Should first of all be<br />

taken to court and then after that to pay for the damage and then he will be relieved and no more bearing of government offices.<br />

2. About employment. That is the workers who are in the govt. There are some sectors like for example if I may mention the<br />

teachers salary. It was accepted gazetted and it was implemented the first phase though the govt was complaining there was<br />

no money by that time. So we don’t want such an issue to be repeated. Anything which has been gazetted should be made a<br />

law that it should be implemented as per the gazettement.<br />

3. The powers of the President I am not talking much but I want to mention one thing. The President who is in power at any<br />

one time if he messes up he should face the law. There should be nothing like saying he is above the law because in other<br />

countries we have seen development when the President knows if I mess up I will I will face the law and I will pay for it or be<br />

removed from power. That is the law of the land.<br />

71

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!