05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

William Mmaitsi: Yeah. Uchaguzi wa Rais, ufanywe kado na ule mwingine wa Wabunge (interjection)<br />

Com. Asiyo: Mbele au nyuma?<br />

William Mmaitsi: Utafanywa nyuma. Tutangulia hawa wa madiwani twende bunge halafu twende Rais.<br />

Com. Asiyo: Na kama atachaguliwa Rais ambaye hana watu kwa Bunge? Kwa maana Wabunge wote wamechaguliwa?<br />

Halafu kuchaguliwe Rais ambaye pendine hana watu kwa Bunge itakuwa namna gani? It is possible.<br />

William Mmaitsi: Yeye ni Rais na ni kiongozi wa ndowa. Kwa mapendekezo yangu tumesema kiongozi wa serikali ni<br />

waziri mkuu.<br />

Com. Asiyo: Na huyu President awe MP wa bunge au awe president?<br />

William Mmaitsi: President pekee yake. Mbali na kuzaa na zile asilimia ishirini na tano that is uchaguzi wa Rais, awe amepata<br />

asilimia ishirini na tano katika mikoa mitano. Lakini huyu ni lazima awe ni kiongozi ambaye anawasilisha matakwa ya walio<br />

wengi. Kwa hivyo, ikiwa kuna waombeaji watano hivi ambao wanagombea urais, halafu kuonekane ya kwamba yule ambaye<br />

ameshida ako na kura may be kati ya kura elfu kumi ako na kura elfu nne na yeye ndiye anaongoza haakilishi matakwa ya<br />

waliowengi, kwa hivyo tuwe na ule uchaguzi wa pili. Ambapo mshidi ya pili, na mshidi wa kwanza, watabaki kung’eng’ana<br />

tena.<br />

Com. Asiyo: Ok next? (inaudible)<br />

William Mmaitsi: Bado wacha nilike ingine kwa sababu naona wakati. Kuna hii tatizo la ardhi. Ninapendekeza ya kwamba<br />

mtu awe na kiwango chochote cha ardhi ambaye anaweza kuwa nayo. Lakini bora ile ardhi iwe imetumika to the maximam.<br />

Inatoa mazao ambayo tutakuwa na kamati (interjection Com. Asiyo: Kamati ya kufanya nini?) Kama hatumii kutoa, itoe mazao<br />

ambayo ni ya kutosheleza basi board ipewe uhuru wa kunyakua ile shamba itanyakua kwa kununua, kuchukua pesa ipewe<br />

mwenye shamba ile, aachane na shamba kwa sababu shamba hatutaki ilale tu. Halafu baadaye wale wanagaa sehemu hiyo na<br />

hawana mashamba, waambiwe kujeni kwa shamba hapa donor inawauzia.<br />

Com. Asiyo: Next?<br />

William Mmaitsi: Kulinda wamama, wanawake, napendekeza ya kwamba wanaume wengi siku hizi wameoa nyumbani<br />

halafu pengine wanaenda mijini wanapata kazi wanaishi huko, wanapata mabibi wengine wa kado, wanaoa pia. Hawa kado ni<br />

welevu sana. Wanaambiwa twende kwa DC wanachukua wanaoana. Wale wakinyumbani waliolewa kinyumbani, wanabaki<br />

nyumbani. Halafu sasa shida itakapotokea, mzee akiaga, kutatokea mng’ang’ano wa urithi. Napendekeza ya kwamba, ndoa<br />

zote hizi za kienyeji ziwe registered.<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!