TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
William Mmaitsi: Yeah. Uchaguzi wa Rais, ufanywe kado na ule mwingine wa Wabunge (interjection)<br />
Com. Asiyo: Mbele au nyuma?<br />
William Mmaitsi: Utafanywa nyuma. Tutangulia hawa wa madiwani twende bunge halafu twende Rais.<br />
Com. Asiyo: Na kama atachaguliwa Rais ambaye hana watu kwa Bunge? Kwa maana Wabunge wote wamechaguliwa?<br />
Halafu kuchaguliwe Rais ambaye pendine hana watu kwa Bunge itakuwa namna gani? It is possible.<br />
William Mmaitsi: Yeye ni Rais na ni kiongozi wa ndowa. Kwa mapendekezo yangu tumesema kiongozi wa serikali ni<br />
waziri mkuu.<br />
Com. Asiyo: Na huyu President awe MP wa bunge au awe president?<br />
William Mmaitsi: President pekee yake. Mbali na kuzaa na zile asilimia ishirini na tano that is uchaguzi wa Rais, awe amepata<br />
asilimia ishirini na tano katika mikoa mitano. Lakini huyu ni lazima awe ni kiongozi ambaye anawasilisha matakwa ya walio<br />
wengi. Kwa hivyo, ikiwa kuna waombeaji watano hivi ambao wanagombea urais, halafu kuonekane ya kwamba yule ambaye<br />
ameshida ako na kura may be kati ya kura elfu kumi ako na kura elfu nne na yeye ndiye anaongoza haakilishi matakwa ya<br />
waliowengi, kwa hivyo tuwe na ule uchaguzi wa pili. Ambapo mshidi ya pili, na mshidi wa kwanza, watabaki kung’eng’ana<br />
tena.<br />
Com. Asiyo: Ok next? (inaudible)<br />
William Mmaitsi: Bado wacha nilike ingine kwa sababu naona wakati. Kuna hii tatizo la ardhi. Ninapendekeza ya kwamba<br />
mtu awe na kiwango chochote cha ardhi ambaye anaweza kuwa nayo. Lakini bora ile ardhi iwe imetumika to the maximam.<br />
Inatoa mazao ambayo tutakuwa na kamati (interjection Com. Asiyo: Kamati ya kufanya nini?) Kama hatumii kutoa, itoe mazao<br />
ambayo ni ya kutosheleza basi board ipewe uhuru wa kunyakua ile shamba itanyakua kwa kununua, kuchukua pesa ipewe<br />
mwenye shamba ile, aachane na shamba kwa sababu shamba hatutaki ilale tu. Halafu baadaye wale wanagaa sehemu hiyo na<br />
hawana mashamba, waambiwe kujeni kwa shamba hapa donor inawauzia.<br />
Com. Asiyo: Next?<br />
William Mmaitsi: Kulinda wamama, wanawake, napendekeza ya kwamba wanaume wengi siku hizi wameoa nyumbani<br />
halafu pengine wanaenda mijini wanapata kazi wanaishi huko, wanapata mabibi wengine wa kado, wanaoa pia. Hawa kado ni<br />
welevu sana. Wanaambiwa twende kwa DC wanachukua wanaoana. Wale wakinyumbani waliolewa kinyumbani, wanabaki<br />
nyumbani. Halafu sasa shida itakapotokea, mzee akiaga, kutatokea mng’ang’ano wa urithi. Napendekeza ya kwamba, ndoa<br />
zote hizi za kienyeji ziwe registered.<br />
23