TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Ungesema namna gani? Umesema free education.<br />
Julius Seronoi: Kwa upande wa kulipa walipe gharama ndogo.<br />
Com. Asiyo: Na wale wasio nayo kabisa?<br />
Julius Seronoi: Wale wasi…<br />
Commissioners: Waachwe wakufe?<br />
Julius Seronoi: Hapana waachwa watapewa tu.<br />
Com. Asiyo: Wapewe bure?<br />
Julius Seronoi: Eeh. Nimemaliza.<br />
Com. Ayonga: Sasa mzee enda huko ujiandikishe.<br />
Com. Asiyo: Asante sana Mzee Julius kw amaoni yako. Sasa tunamuita mzee Walter Rop, akichelewa tunataka Jeremiah<br />
Kiprono au Hosea Kiplagat. Wewe mzee ni nani? Wewe ni Jeremiah Kiprono? Walter Rop hayuko? Bona nilikuita mbele na<br />
hukuja? Wewe kuja mbele ya Jeremiah maana wewe ndiyo number kumi na nne. Halafu mzee Jeremiah uwe karibu tayari,<br />
uanze kuongea. Na kwa sasa kwa maana watu wana zidi kujiandikisha ni wengi tunataka kusikia maoni ya kila mtu sasa<br />
tusifanye hadithi tuweke kwa maana yale mambo ya mhimu sana ambayo inahusu kutengenesa katiba mpya peke yake mbila<br />
hadithi.<br />
Walter: Asante sana Commissioner,(interjection: jina kwanza) Walter Kiprotich Rop. Asante sana Commissioner, Mbunge<br />
wetu wa Karachuonyo ambaye ni minister wetu wa zamani, Bw. Pastor, na wakiri wake maofficer na wageni watukufu, langu,<br />
(interjection)<br />
Com. Ayonga: wewe unajua hii mamboya siasa huko Karachonyo tusije tukasikia kwamba Bi. Asiyo ndiyokuna mjumbe<br />
mpya anaitwa Bi. Asiyo. Hiyo ni makosa.<br />
Com. Asiyo: Nilikuwa zamani nikwacha.<br />
Com. Ayonga: Alikuwa akawacha. Wewe unasikia watu wa siasa wakisikia hiyo na wale waandishi maneno wanaandika<br />
29