05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ungesema namna gani? Umesema free education.<br />

Julius Seronoi: Kwa upande wa kulipa walipe gharama ndogo.<br />

Com. Asiyo: Na wale wasio nayo kabisa?<br />

Julius Seronoi: Wale wasi…<br />

Commissioners: Waachwe wakufe?<br />

Julius Seronoi: Hapana waachwa watapewa tu.<br />

Com. Asiyo: Wapewe bure?<br />

Julius Seronoi: Eeh. Nimemaliza.<br />

Com. Ayonga: Sasa mzee enda huko ujiandikishe.<br />

Com. Asiyo: Asante sana Mzee Julius kw amaoni yako. Sasa tunamuita mzee Walter Rop, akichelewa tunataka Jeremiah<br />

Kiprono au Hosea Kiplagat. Wewe mzee ni nani? Wewe ni Jeremiah Kiprono? Walter Rop hayuko? Bona nilikuita mbele na<br />

hukuja? Wewe kuja mbele ya Jeremiah maana wewe ndiyo number kumi na nne. Halafu mzee Jeremiah uwe karibu tayari,<br />

uanze kuongea. Na kwa sasa kwa maana watu wana zidi kujiandikisha ni wengi tunataka kusikia maoni ya kila mtu sasa<br />

tusifanye hadithi tuweke kwa maana yale mambo ya mhimu sana ambayo inahusu kutengenesa katiba mpya peke yake mbila<br />

hadithi.<br />

Walter: Asante sana Commissioner,(interjection: jina kwanza) Walter Kiprotich Rop. Asante sana Commissioner, Mbunge<br />

wetu wa Karachuonyo ambaye ni minister wetu wa zamani, Bw. Pastor, na wakiri wake maofficer na wageni watukufu, langu,<br />

(interjection)<br />

Com. Ayonga: wewe unajua hii mamboya siasa huko Karachonyo tusije tukasikia kwamba Bi. Asiyo ndiyokuna mjumbe<br />

mpya anaitwa Bi. Asiyo. Hiyo ni makosa.<br />

Com. Asiyo: Nilikuwa zamani nikwacha.<br />

Com. Ayonga: Alikuwa akawacha. Wewe unasikia watu wa siasa wakisikia hiyo na wale waandishi maneno wanaandika<br />

29

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!