05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

napendekeza tuwe na vyama vitatu vya kisiasa. Kwa sababu hii vingine tumeona imekuja vingi kabisa.<br />

Com. Asiyo: Three political parties. Next.<br />

William Mmaitsi: Halafu katika uchaguzi, na pendekeza mayor achaguliwe pekee yake, kwa kura ya wananchi na huyo<br />

mayor lazima awe amesoma mpaka amepata degree.<br />

Com. Asiyo: Degree au …?<br />

William Mmaitsi: Chuo kikuu, degree kuendelea.<br />

Com. Asiyo: Kwa mji yote ya Kenya kubuka..?<br />

William Mmaitsi: Kenya yote.<br />

Com. Asiyo: Kenya yote? Are you serious?<br />

William Mmaitsi: Very serious. Hatutakuwa na maana ya kuhimiza elimu ikiwa watu watachukulia elimu kwa maana basi<br />

hakuna haja ya elimu. Elimu iko, kwa hivyo watu wasome ili nyadhifa zitakapotokea kama hizi we have qualified people.<br />

Com. Asiyo: Lakini Bw. Mmaitsi, njia ingine ambayo tunaweza kupata watu wenye hekima kwa kuongoza? Sasa kuna watu<br />

wana Ph.D na ni walevi hawajitabui jina saa zingine? Unataka tuwe tuchukue mtu kwa njia ya elimu tusipoangalia desturi na<br />

mwenedo yake na njia zake za kuishi?<br />

William Mmaitsi: Mbali na degree, maadili hayo mengine nimeandika hapa kwa hivyo maadili hayo mengine yako. Atafuata<br />

hayo. Lakini lile ambalo nilikuwa nataka litiliwe maanane ni elimu. Kwa sababu (interjection inaudible) kwa mayor. Wenye kiti<br />

wa mabaraza tunataka wawe form four. Hatutaki wale watu ambao hawajui kusoma hawawezi kuinterprete government<br />

policies namna hii. (interjection)<br />

Com Asiyo: Sema ni ya county council, wawe form 4?<br />

William Mmaitsi: Wawe form 4 na pia wachaguliwe na raia.<br />

Com. Asiyo: Na wananchi?<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!