TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
napendekeza tuwe na vyama vitatu vya kisiasa. Kwa sababu hii vingine tumeona imekuja vingi kabisa.<br />
Com. Asiyo: Three political parties. Next.<br />
William Mmaitsi: Halafu katika uchaguzi, na pendekeza mayor achaguliwe pekee yake, kwa kura ya wananchi na huyo<br />
mayor lazima awe amesoma mpaka amepata degree.<br />
Com. Asiyo: Degree au …?<br />
William Mmaitsi: Chuo kikuu, degree kuendelea.<br />
Com. Asiyo: Kwa mji yote ya Kenya kubuka..?<br />
William Mmaitsi: Kenya yote.<br />
Com. Asiyo: Kenya yote? Are you serious?<br />
William Mmaitsi: Very serious. Hatutakuwa na maana ya kuhimiza elimu ikiwa watu watachukulia elimu kwa maana basi<br />
hakuna haja ya elimu. Elimu iko, kwa hivyo watu wasome ili nyadhifa zitakapotokea kama hizi we have qualified people.<br />
Com. Asiyo: Lakini Bw. Mmaitsi, njia ingine ambayo tunaweza kupata watu wenye hekima kwa kuongoza? Sasa kuna watu<br />
wana Ph.D na ni walevi hawajitabui jina saa zingine? Unataka tuwe tuchukue mtu kwa njia ya elimu tusipoangalia desturi na<br />
mwenedo yake na njia zake za kuishi?<br />
William Mmaitsi: Mbali na degree, maadili hayo mengine nimeandika hapa kwa hivyo maadili hayo mengine yako. Atafuata<br />
hayo. Lakini lile ambalo nilikuwa nataka litiliwe maanane ni elimu. Kwa sababu (interjection inaudible) kwa mayor. Wenye kiti<br />
wa mabaraza tunataka wawe form four. Hatutaki wale watu ambao hawajui kusoma hawawezi kuinterprete government<br />
policies namna hii. (interjection)<br />
Com Asiyo: Sema ni ya county council, wawe form 4?<br />
William Mmaitsi: Wawe form 4 na pia wachaguliwe na raia.<br />
Com. Asiyo: Na wananchi?<br />
22