05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

asiongeze mwingine. (laughter)<br />

Com. Asiyo: Asante sana. Hebu jiandikishe pale (inaudible) pole pole sio shida wewe weka tu. Ukisema msichana asizae<br />

mtoto mwingine, kama wanaume wangekuwa wanazaa dunia ingejaa leo. Kwa hivyo usikate shauri kwa wasichana waki<br />

…unaweza weka meathali umalize hapo. Asante sana sasa tunataka kumsikiliza mzee Harun Kandie. Tafadhali fika mbele kwa<br />

mambo machache sana kwa maana naona una karatasi hapo. Kwanza sema majina yako yote ili ishikwe na machine halafu<br />

uongee kwa muda mfupi sana kama dakika tatu.<br />

Harun Kandie: Asante sana Commissioner, na Commissioner mwenzako. Kwa jina ni Harun Kandie. Yangu ninaenda<br />

upande wa uongozi kwa upande wa machief ile style tungefuata. Style ile tungefuata kwa upande wa machiefs kuandika zamani<br />

wamababu zetu, walikuwa wanaendea kwa elders, kujua ni nyumba gani inastahili kuongoza wananchi. Na ilikuwa mzuri. Hiyo<br />

njia ilikuwa mzuri kwa wakati huo.<br />

Com. Asiyo: Sasa kwa wakati huu unataka wapigiwe kura au wafanye namna gani?<br />

Harun Kandie: Ile kitu ilikuja kuharibu Bwana Commissioner ni kuwa wanasiasa walikuja wakaingilia hiyo kitu, so<br />

wakaharibu ikawa baya.<br />

Com. Asiyo: So unapendekeza namna gani?<br />

Harun Kandie: Napendekeza iwe wazee elders, wawe watapewa jukumu ya kuangalia kama ni chiefs ama ni assistant chiefs<br />

wanagaa chini katika vijijini na kuona ni mtoto wa nyumba gani inafaa kuongoza sisi.<br />

Com. Asiyo: Hao wazee hawawezi kupewa kitu kidogo halafu wachague mtu (inaudible)<br />

Harun Kandie: Zamani ilikuwa hakuna hiyo walikuwa wanaongoza tu.<br />

Com. Asiyo: Zamani hakukuwa na kitu kidogo. Na sasa?<br />

Harun Kandie: Hii kitu kidogo ndiyo inaharibu mambo.<br />

Com.Asiyo: Sasa tutafanya namna gani?<br />

Harun Kandie: Wazee walikuwa wanajua ni nini wanaendelea na wazee wakigaa wanao mambo yao ya ndani.<br />

Com. Ayonga: Sasa hao wawezi kuonea nyumba fulani tu ndiyo inafaa kuwa inatawala na hali nyumba ile haitagawana?<br />

16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!