05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

the president be for ceremonial.<br />

Com. Asiyo: Ulisema ni ya mwisho.<br />

Javan Lagat: Ya mwisho kabisa I want to talk about international laws. You find that international laws deal with may be<br />

kutumiwa kwa nchi za anga, ama maji, like for example Indian Ocean. Tunataka serikali ichukue sehemu yake na nchi ambazo<br />

zinapakana waelewane if it is fishing or whatever it should not be given restrictions by international laws but they they should<br />

present themselves that – wapewe nafasi ya kujieleza na vile watakavyotumia.<br />

Ya mwisho ni kuhusu herbalist. Herbalists shouldbe recognised in hospital. Thank you.<br />

Com. asiyo: Ok thankyou very much Bw. Javan<br />

Com. Ayonga: Unasema pesa za cess hutumiwa vibaya na MPs na ukasema zirudishwe kwa wananchi. Tunaukweli gani<br />

kama zikirudishwa our MPs hawatumii pesa mbila ya kuwa na mikutano na wananchi na tumeshaona cooperatives nyingi<br />

mambo imeharibika na hali watu wanayoharibu ni wale wale ambao wamechaguliwa na cooperators wenyewe. What<br />

assurance do we have hata hiyo inapofanywa hivyo ni MP wanapofanya hivyo, don’t you think we need to change from our<br />

hearts rather than kusema huyu akifanya hivi irudishwe kwa fulani hapo tutapata wokofu?<br />

Javan Lagat: I think it should come to the local community through council of elders.<br />

Com. Ayonga: Na council of elders ndiyo wameharibu cooperatives?<br />

Com. Asiyo: Nafikiri watu wa cooperatives wengi ndiyo wanachaguliwa na cooperators ndiyo wengi wao huharibu pesa ya<br />

wakulima. Si ndiyo hivyo? Kwa hivyo pengine ungependekeza kwamba itafutwe njia kamili ya kuchagua watu ambao<br />

watakuwa na msimamo unaofaa. Na pia ungetuambia kwamba kukitokea mambo kama haya ya ufisadi au kuharibu pesa ya<br />

wakulima au wale cooperators hawa wafanyiwe kulipa pesa hiyo yote. Hata kama ni kuuza mali yao, ilipwe. Lakini MP<br />

ukiweka kwa mambo haya hiyo sio kazi yake. Anyway thankyou very much for your presentation<br />

Com. Kangu:… (inaudible) nenda ufikirie.<br />

Com. Asiyo: Ufikirie na ukifikiria uandike hiyo ni kitu muhimu sana kwetu mambo ya cooperative. Halafu mpe coordinator<br />

atatuletea kule juu. Asante sana kwa maoni yako. Javan Lagat: (inaudible)<br />

Com. Asiyo: Tarehe kumi na tano. Kwa hivyo andika leo leo halafu sisi tutabeba. Bw. Reuben Tanui yuko? Are you<br />

representing the youth? Ok you have writtten you statement and we will take it as a whole so only highlight by very few words<br />

the important points. Because we are going to take the whole (inaudible)<br />

Reuben Tanui: Thank you Madam Commissioner, my names are Reuben Keptai Tanui. I think I should start by expressing<br />

44

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!