05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Harun Kandie: Mimi nafikiri hiyo tukiweka upande wa wananchi wakilalamika kwa kutumia Commissioner yao.<br />

Wanamwambia sasa huyu mjumbe wetu, amewacha sisi, na aitwe kama akiitwa anakataa kukuja kwa kusikia maoni ya<br />

wananchi vile wanataka, basi, itaandikwa kwa kupitia Commissioner, huyo mtu hatutaki.<br />

Com. Asiyo: Huyu Commissioner ni nani?<br />

Harun Kandie: Kama District Commissioner wetu.<br />

Com. Asiyo: Ok asante.<br />

Com. Ayonga: Unataka aitwe kwa ile district mambo yake waongee hapo, ashidwe asishidwe.<br />

Harun Kandie: Yeah.<br />

Com. Asiyo: Halafu akishidwa uchaguzi mpya.<br />

Harun Kandie: Uchaguzi uwekwe mpya.<br />

Com. Asiyo: Na yeye asimama au ?<br />

Harun Kandie: Sasa atasimama wapi na wananchi ndiyo wametoa yeye hafanyi kazi.<br />

Com. Asiyo: Haya basi.<br />

Harun Kandie: Ni hayo tu.<br />

Com. Asiyo: Asante sana mzee nenda ujiandikishe pale jina, na kama uko na karatasi utuachie tumeshukuru. Sasa tunakuita<br />

mzee Willie Yagan na kama yule Walter amekuja ananafasi pia. Kama William hajaingia William Mmaitisi, ameingia? Yeye<br />

yuko? Haya kuja. Wewe ni William Mmaitisi? Very good tafadhali kuchua microphone utueleze mambo kinaga naga vile<br />

unavyotaka katiba mpya na ukubuke tunaandika katiba mpya leo. Kwa hivyo andikisha vizuri.<br />

William Mmaitsi: Asante sana Macommissioners ambao wamebarisi na sisi siku ya leo nafikiri mimi nitakuwa tu na machache<br />

(interjection: Sema majina) Mimi ni William Mmaitsi. Nafikiri mengi ambayo ningesema nimeyaweka katika memorandum hii<br />

yangu. Kwa hivyo, ufupi tu ningependekeza ya kwamba taifa letu la Kenya bado ni taifa changa sana kisiasa. Na kutakuja<br />

msuko suko huu wa vyama vingi. Napendelea ya kwamba, ili tutuliz, tudumishe umoja wetu ambao bado ni mchanga<br />

21

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!