TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
hapa na kutoka hapa.<br />
Halafu health, on the health sector ningetaka hivi, because today we are told we have been given that power to make the<br />
constitution tunataka (Com.Asiyo: inaudible) daktari yeyote aka katika public sector asiwe na clinic hiyo itazuia wizi wa<br />
madawa n.k.<br />
No. 7 na niya mwisho ni pension ya parliamentarians. Tumesikia hii contraversial issue, wawe pensionable after two terms na<br />
sio one term na wengine wanaenda kule kwa kufluke. Nafikiri kwa hayao asante.<br />
Com. Asiyo: Asante sana. Nataka kukujulisha pension ya watu wa bunge hata sio kitu kikubwa. Mimi nilikuwa kule zaidi<br />
ya miaka kumi na tano na ninapata shilingi elfu sita na mia tano kila mwezi na hiyo si pesa kubwa. Asante sana chief. Sasa<br />
ningependa kumuuliza Bw. Samuel Maina afike karibu nilikuwa nimemita hapo mbele na kama hayuko tupate Leah Samoei.<br />
Tungependa sana akina mama waongee Leah Somei hayuko? Kama Leah Samoei hayuko wapi Koskei Silas? Kimbia uongee.<br />
Lakini mtu aende atafute huyo Leah mpaka alete yeye. Bw. ?? tafadhali tutafute huyo Leah mpaka tupate yeye. Akina mama<br />
au wameenda shambani? Lakini angekuja aongee ndiyo arudi shambani.<br />
Silas. Kosgei: Thank you for this opportunity, my contribution will be brief since those who have come before me have<br />
mentioned at least a coverage of what I intended to. My names are Silas Kosgei. I would like to contribute to this commission<br />
that we should have a govt. that has good governance. This govt. therefore, should be administered or may be have a<br />
watchdog behind it. The government therefore, should provide free education, to all Kenyans, free health services to all<br />
Kenyans anybody who is born a<br />
Kenyan should be given these services free of charge by the government. The government also should improve the recreational<br />
facilities to provide good habitation for the people of Kenya.<br />
Five, the hawkers, remuneration should be dealth with by a body to avoid contagious salary leading to misappropriation of<br />
government funds. Idlers in the Kenyan govt. should be dealth with by the law. They should be rehabilitated may be<br />
somewhere for a period of time. To make every individual in Kenya productive towards the government because we have a<br />
problem we are crying that our country is undergoing economic crises while we have a lot of people being idle.<br />
Pollution this creates problems especially when it comes to people’s health, therefore, there are a lot of pollutants in Kenya.<br />
Anything that leads to pollution of the government should be looked at accordingly to the law. That is my contribution.<br />
Thankyou.<br />
Com. Asiyo: Thankyou very much Silas lazima uende uandike jina lako. Kuna mtu ambaye anaitwa Lebora angependa<br />
69