05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mengi ya kusema lakini wacha niseme moja. Moja tu. Hata chairman ya county council, hata mayor wachaguliwe na watu.<br />

Wakuje nje na wauze policy yao, wakishauza policy yao watajulikana kwamba they are fit kuenda kuwa chairman au kuwa<br />

mayor. Basi kwa hayo machache Bw. Commissioners nisamehe nimechelewa.<br />

Com. Ayonga: Asante. Ukichelewa si utakuta watu wameongeza watu wengine mishahara wewe hukuwa.<br />

Com. Asiyo: kwa sasa ningependa Bw. Koila Abraham Bw. Kloila Abraham tafadhali na wewe uki maliza tutamuliza Charles<br />

Sitenei sijui kama alikuwa ameongea kuna Sitenei alikuwa ameongea hapo mbele. Lakini fika hapa mbele karibu utaongea.<br />

Bw. Koila Abraham utafuatwa na Bw. Charles Sitenei.<br />

Abraham Koila: Asante sana Commissioners, Vile tuko hapa vile tuko hapa nafikiri hata Tume ya Yash Pal Ghai, sorry<br />

samahani, majina ni Abraham Koila vile ilikuwa imetamkwa nataka kusisitiza jambo moja hapa kama vile Tume ya Yash Pal<br />

Ghai ilivyo hata wakati huu haijui pahali inaelekea kwa sababu hawana uhakika ya kumaliza kazi hii ama kabla ya mwisho wa<br />

mwaka huu ama itaruka hadi mwaka ujao. Na wakiwa hivyo, kuna wale wanafanya bidii kuhakikisha wa kwamba kazi hii<br />

imeisha kabla ya mwezi wa tisa na kuna yule mlegevu pia, anahakisha ya kwamba hii kazi iende mpka mwezi wa nne. Kwa<br />

sababu gani? Labda anataka marupurupu izidi kuja. Navyo ni hivyo kwa wabunge wetu hivi sasa. Kwa sababu kuna hii<br />

mambo ya petition wakati results zimetangazwa. Results zikizatangazwa, if somebody has gone to court kunistaki kwamba<br />

mimi si mbunge kihalali nitakuwa huko kuhakikisha ya kwamba ninapoteza wakati bila kufanya chochote. Kwa sababu incase<br />

of anything, naweza tolewa baada ya miaka miwili.<br />

Com. Asiyo: Sasa Bw. Koila unataka namna gani? Kwa maana ngoja kwanza, mambo ambayo umeongea juu ya katiba<br />

nitakueleza baadaye, lakini nataka kwanza nisikie mapendekezo yako.<br />

Abraham Koila: Ndiyo nilikuwa nalegea, mapendekezo yangu ni kuwa kura zote zihesabiwe katika polling station. Na<br />

kuwe na tribunal kutoka kwa polling station, ya kuhakikisa ya kwamba kukiwa na hitilafu yeyote, itatuliwe hapo papo. Halafu<br />

results ya polling station, zitakuwa cumilative zitachanganywa na zile kutoka other polling stations, so that tuwe na results, na<br />

baada ya results, hakuna mambo ya kukataa kuenda kortini kusema yule hakushida. Yote itaishia baada yakutangaza, so that<br />

when you have gone to parliament you are sure you are going to serve people for the next 5 years. Thank you.<br />

Com. Asiyo: Is that all?<br />

Abraham Koila: Yeah, for that point.<br />

Com. Asiyo: But please you have the document that you are going to give us so just highlight the important points.<br />

Abraham Koila: Thank you very much, now I think I will go to the powers of the President, the powers of the President<br />

should be limited. First and mainly the worst thing is the appointment of judges or judiciary in general.<br />

Com. Asiyo: What do you recommend?<br />

Abraham Koila: I recommend this one should go to the parliament. Because I cannot appoint somebody and when I am<br />

49

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!