TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Charles Sitienei: Labda amekuja ku-invest Kenya na ameacha wazazi kwao. Tunataka (inaudible) (interjection: Com<br />
Ayonga inaudible) Ingine mambo ya federal government ni mzuri sana, imeserve America, Canada, Ugerumani, wako federal<br />
states. Ya mwisho ni mambo ya surveyors. Hii masurveyor wanakula watu hii wanaitwa land board. Inamaliza watu kabisa<br />
maskini. Hiyo kitu iondolewe na (inaudible) ianzie nyumbani. Mambo ya mashamba ianzie nyumbani kwa wazee. Lakini<br />
maneno ya land board na nini hiyo ingine kwa hii katiba inakuja hiyo kitu iondolewe.<br />
Com.Asiyo: Watu wengi wamesema hivyo.<br />
Charles Sitienei: Wamesema, Ok asante. Ilikuwa ya mwisho kama mko na swali mniulize. (laughter)<br />
Com.Asiyo: Umesema vizuri sana, kabisa hakuna swali. Sasa ninamuuliza Bw. Jacob Kipsui utafuatwa na Geoffrey.<br />
Jacob Kipsui: Asante sana Bw. Commissioner. Maoni nilikuwa naye, kwa majina yangu ni Jacob Kipsui. Na kwa maoni<br />
yenye ningechangia mengi yake yamesemwa. Na kuna jambo moja ambaye ninaona wananchi hawajagusia. Nimesikia<br />
wamegusa gusa mambo ya mshahara kwa civil servants, na kuna jambo moja ambayo sijasikia mtu akitaja.<br />
Commissioners: Taja hiyo.<br />
Jacob Kipsui: Kuna huyu mtu anaitwa mkulima, huyu mtu mkulima ni ni mtu wa mkongwe wa taifa hii letu. Na kwa hii katiba<br />
ambayo inaundwa saa hii, sijasikia mtu ambaye anataja kuhusu huyu mtu.<br />
Com. Asiyo: Wewe taja huyu mtu sasa.<br />
Jacob Kipsui: Huyu mtu amenyanyaswa vilivyo.<br />
Com Asiyo: Sasa tufanye namna gani?<br />
Jacob Kipsui: Amenyanyaswa hivi anapolima shamba lake, mazao zake zinatoka vizuri, anapouza hakuna malipo haswa<br />
sana hata wakati hii upande huu wetu tuko na shida ya pareto. Na tukiuliza inasemekana eti pesa iko. Na hiyo pesa nani ako<br />
naye? Kama hajalipa mkulima ndiyo awezeshe kuendesha hizo kazi zake atafanya namna gani hiyo kazi?<br />
Com. Asiyo: Unapendekeza namna gani?<br />
Jacob Kipsui: Ninapendekeza iundwe kamati ambao inachunguza kazi ya mkulima kuanzia mdogo hadi mkubwa.<br />
Com.Asiyo: Si iko ile board?<br />
54