05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Charles Sitienei: Labda amekuja ku-invest Kenya na ameacha wazazi kwao. Tunataka (inaudible) (interjection: Com<br />

Ayonga inaudible) Ingine mambo ya federal government ni mzuri sana, imeserve America, Canada, Ugerumani, wako federal<br />

states. Ya mwisho ni mambo ya surveyors. Hii masurveyor wanakula watu hii wanaitwa land board. Inamaliza watu kabisa<br />

maskini. Hiyo kitu iondolewe na (inaudible) ianzie nyumbani. Mambo ya mashamba ianzie nyumbani kwa wazee. Lakini<br />

maneno ya land board na nini hiyo ingine kwa hii katiba inakuja hiyo kitu iondolewe.<br />

Com.Asiyo: Watu wengi wamesema hivyo.<br />

Charles Sitienei: Wamesema, Ok asante. Ilikuwa ya mwisho kama mko na swali mniulize. (laughter)<br />

Com.Asiyo: Umesema vizuri sana, kabisa hakuna swali. Sasa ninamuuliza Bw. Jacob Kipsui utafuatwa na Geoffrey.<br />

Jacob Kipsui: Asante sana Bw. Commissioner. Maoni nilikuwa naye, kwa majina yangu ni Jacob Kipsui. Na kwa maoni<br />

yenye ningechangia mengi yake yamesemwa. Na kuna jambo moja ambaye ninaona wananchi hawajagusia. Nimesikia<br />

wamegusa gusa mambo ya mshahara kwa civil servants, na kuna jambo moja ambayo sijasikia mtu akitaja.<br />

Commissioners: Taja hiyo.<br />

Jacob Kipsui: Kuna huyu mtu anaitwa mkulima, huyu mtu mkulima ni ni mtu wa mkongwe wa taifa hii letu. Na kwa hii katiba<br />

ambayo inaundwa saa hii, sijasikia mtu ambaye anataja kuhusu huyu mtu.<br />

Com. Asiyo: Wewe taja huyu mtu sasa.<br />

Jacob Kipsui: Huyu mtu amenyanyaswa vilivyo.<br />

Com Asiyo: Sasa tufanye namna gani?<br />

Jacob Kipsui: Amenyanyaswa hivi anapolima shamba lake, mazao zake zinatoka vizuri, anapouza hakuna malipo haswa<br />

sana hata wakati hii upande huu wetu tuko na shida ya pareto. Na tukiuliza inasemekana eti pesa iko. Na hiyo pesa nani ako<br />

naye? Kama hajalipa mkulima ndiyo awezeshe kuendesha hizo kazi zake atafanya namna gani hiyo kazi?<br />

Com. Asiyo: Unapendekeza namna gani?<br />

Jacob Kipsui: Ninapendekeza iundwe kamati ambao inachunguza kazi ya mkulima kuanzia mdogo hadi mkubwa.<br />

Com.Asiyo: Si iko ile board?<br />

54

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!