05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Jacob Kipsui: Hiyo board hatujaona kazi ambalo anatusaidia.<br />

Com. Asiyo: Kwa hivyo ifutwe?<br />

Jacob Kipsui: Ifutwe na iundwe ingine<br />

Com. Ayonga: Iundwe ingine ya aina hiyo hiyo?<br />

Jacob Kipsui: Ah ah, inaweza…<br />

Com. Asiyo: Ichaguliwe na wakulima?<br />

Jacob Kipsui: Ichaguliwe na wakulima wenyewe.<br />

Com. Ayonga: ….. hiyo ya pareto si wanachagua watu na wakulima?<br />

Jacob Kipsui: Hata kama wanachagua…<br />

Com.Ayonga: Hata mimi nilikuwa mkulima wa pareto na tunawachagua watu kwa society wanaopanda kwa vote. Kwa<br />

hivyo tena tuende kuchagua mpaka wapi?<br />

Jacob Kipsui: Ni ma-directors. Unakuta mwingine director anachaguliwa na ule ako within. Unasikia eti Mr. so and so<br />

amechaguliwa awe director ya mazao fulani na ninauliza je, hii sector ya ukulima haina faida katika nchi yetu? Na kama iko na<br />

faida kwa nini asiangaliwe kwa njia yoyote ambayo inasaidia yule mkulima anatoa mazao yake?<br />

Com. Asiyo: Wewe unataka mkulima ndiye atachagua ma-director kwa board.<br />

Jacob Kipsui: Eeh ndio. Haya jambo lingine niingie upande wa KCC. Juzi wakulima walilia, pesa zao zilipotea hata saa hii<br />

wakulima bado wanadai KCC na juzi juzi tukasikia eti Director fulani ambaye sitaji jina lake<br />

Com. Ayonga: Tena hiyo ndiyo tunataka ufisadi.<br />

Jacob Kipsui: Amechaguliwa aingie kwa pyrethrum board. Na kuingia hapo shida ya pareto ikaingia hapo. Na hatujajua ni<br />

nini. Kuna mtu inaingizwa huko halafu ananyonywa na mwingine ma ni nini?<br />

Com. Asiyo: Sasa wewe upendekeze. Tuambie vile unataka. Akitoka pale asiingie mahali pengine?<br />

55

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!