TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Julius Seronoi: Hapana kula yote inachukua percent.<br />
Com. Ayonga: Haya sema. Percent ngapi?<br />
Com. Asiyo: Kama ni nusu kwa nusu…<br />
Julius Seronoi: Wachukue tu 25%<br />
Com.Ayonga: Wachukue 25%.<br />
Com. Asiyo: Na wannachi wabaki na 75%.<br />
Julius Seronoi: Wabaki na 75%.<br />
Com. Ayonga: Sawa kabisa. Hapo sasa umesema kitu. Na hii health services pia hukutuambia umesema watu wa<br />
Mumberech hapa mnashida ya watu wanapokuwa wagonjwa na hukutuambia mnataka nini kifanywe ili hiyo shida itoke?<br />
Julius Seronoi. Ninataka ijegwe mahospitali kwa sababu hatuna mahospitali.<br />
Com. Ayonga: Unataka moshospitali yaongwezwe?<br />
Julius Seronoi: Eeh.<br />
Com. Ayonga: Lakini madawa unapata kwa haya yalioko?<br />
Julius Seronoi: Hakuna.<br />
Com. Ayonga: Hakuna? Si basi upendekeze unataka nini? Mzee hutaki dawa?<br />
Julius Seronoi: Mimi nataka dawa.<br />
Com. Ayonga: Na unataka aje mbila kusema? (Julius Seronoi: Nataka.) Sema nataka dawa. Haya.<br />
Com. Asiyo: Lakini mzee kwa watu masikini ambao ni wagonjwa unasema unataka dawa na unajua hawajalipa na hawana.<br />
28