05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Julius Seronoi: Hapana kula yote inachukua percent.<br />

Com. Ayonga: Haya sema. Percent ngapi?<br />

Com. Asiyo: Kama ni nusu kwa nusu…<br />

Julius Seronoi: Wachukue tu 25%<br />

Com.Ayonga: Wachukue 25%.<br />

Com. Asiyo: Na wannachi wabaki na 75%.<br />

Julius Seronoi: Wabaki na 75%.<br />

Com. Ayonga: Sawa kabisa. Hapo sasa umesema kitu. Na hii health services pia hukutuambia umesema watu wa<br />

Mumberech hapa mnashida ya watu wanapokuwa wagonjwa na hukutuambia mnataka nini kifanywe ili hiyo shida itoke?<br />

Julius Seronoi. Ninataka ijegwe mahospitali kwa sababu hatuna mahospitali.<br />

Com. Ayonga: Unataka moshospitali yaongwezwe?<br />

Julius Seronoi: Eeh.<br />

Com. Ayonga: Lakini madawa unapata kwa haya yalioko?<br />

Julius Seronoi: Hakuna.<br />

Com. Ayonga: Hakuna? Si basi upendekeze unataka nini? Mzee hutaki dawa?<br />

Julius Seronoi: Mimi nataka dawa.<br />

Com. Ayonga: Na unataka aje mbila kusema? (Julius Seronoi: Nataka.) Sema nataka dawa. Haya.<br />

Com. Asiyo: Lakini mzee kwa watu masikini ambao ni wagonjwa unasema unataka dawa na unajua hawajalipa na hawana.<br />

28

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!