27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

11<br />

Ya mwisho, tuko na mambo ya ndovu. Wale wanyama wa pori, wanaua watu. Mtu akiua ndovu, idara ile ya Serikali inaingia ile<br />

area na kubeba mtu sijui na nini. Lakini mtu akiuliwa na wanyama wa pori, huo utaratibu unaenda pole pole mpaka miaka kumi.<br />

Na malipo ni kidogo. Mtu anaweza kulipwa elfu thelathini. Sasa si mtu ako na thamana* kuliko mnyama wa pori. Ni vizuri<br />

kuandikwe, ile mtu ambayo mtu anastahili kulipwa.<br />

Com. Bishop Njoroge: Pesa ngapi?<br />

Palashina Ole Sunkuri: Hata kama ni milioni mbili.<br />

Clapping from the audience.<br />

Palashina Ole Sunkuri: Maana imeua mtu. Unajua maisha ya mtu kulipa. Saa ingine hauwezi kulipa mtu, nikuambie ulipe huyo<br />

mtu maanake ako na thamana* yake. Kwa hivyo kwa mazungumzo yangu, ninafikishia hapo. Ninasema asante. Asante kwa<br />

maneno hayo mazuri.<br />

Com. Bishop Njoroge: Philip Leshinka. Hatutaki kusikia watu wakifanya makelele. Ikiwa kuna mtu anataka kuzungumza na<br />

mwingine, anahitaji kutoka nje, akimaliza mazungumzo, anarudi ndani ya nyumba. Kikao hiki ni kikao maalum, let us give this<br />

place the dignity it requires.<br />

Philip Leshinka: Asante, kwa jina naitwa Philip Leshinka na maoni yangu ni kama yafuatayo. Kwanza tunaanza na MP,<br />

mwakilishi wa area. Utakuta ya kwamba MP akichaguliwa, kuna wengine ambao hawezi kabisa ku-deliver. Kwa hivyo<br />

ingalikuwa ni vizuri, wananchi wapatiwe mamlaka tena wamuondoe mbali na election ifanywe afresh. Pia kabla MP<br />

hajachaguliwa, ingalikuwa ni vizuri sana, yule MP angaliweza kukaguliwa aeleweke ni mtu wa aina gani. Ni mtu mfisadi ama ni<br />

mtu ambaye ni kamili. Ili asiingie katika Bunge na kuanza kutumia yale mamlaka, either kujitajirisha ama kufanya mambo<br />

mengine ambayo hayapendezi wananchi. Kwa sababu tunamweka pale kama mwakilishi wetu, aweze kuendeleza masilahi yetu.<br />

Jambo la pili ambalo nachangia ni juu ya President. President awe ni President aliye na mamlaka ili aweze kuendeleza nchi. Na<br />

kabla ya awe President, akaguliwe ajulikane ya kwamba ni mtu ambaye kweli anaweza kuendeleza wananchi, ana experience.<br />

Si mtu tu ambaye atakuja kuleta mambo hata pengine hawezi kujua ataendeleza wananchi namna gani.<br />

Pia Presient asichaguliwe kama MP. Awe amechaguliwa kama President wa nchi kwa sababu akichaguliwa kama MP, an<br />

elected MP, kwanza ataangalia masilahi ya area yake. Na kwa hivyo ni vizuri awe sio sitting MP. Pia, President akiwa na<br />

mamlaka na mamlaka hayo ayatumie vibaya, sisi wananchi ndio tulio mli-elect, na kwa hivyo mamlaka yetu wananchi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!