constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
11<br />
Ya mwisho, tuko na mambo ya ndovu. Wale wanyama wa pori, wanaua watu. Mtu akiua ndovu, idara ile ya Serikali inaingia ile<br />
area na kubeba mtu sijui na nini. Lakini mtu akiuliwa na wanyama wa pori, huo utaratibu unaenda pole pole mpaka miaka kumi.<br />
Na malipo ni kidogo. Mtu anaweza kulipwa elfu thelathini. Sasa si mtu ako na thamana* kuliko mnyama wa pori. Ni vizuri<br />
kuandikwe, ile mtu ambayo mtu anastahili kulipwa.<br />
Com. Bishop Njoroge: Pesa ngapi?<br />
Palashina Ole Sunkuri: Hata kama ni milioni mbili.<br />
Clapping from the audience.<br />
Palashina Ole Sunkuri: Maana imeua mtu. Unajua maisha ya mtu kulipa. Saa ingine hauwezi kulipa mtu, nikuambie ulipe huyo<br />
mtu maanake ako na thamana* yake. Kwa hivyo kwa mazungumzo yangu, ninafikishia hapo. Ninasema asante. Asante kwa<br />
maneno hayo mazuri.<br />
Com. Bishop Njoroge: Philip Leshinka. Hatutaki kusikia watu wakifanya makelele. Ikiwa kuna mtu anataka kuzungumza na<br />
mwingine, anahitaji kutoka nje, akimaliza mazungumzo, anarudi ndani ya nyumba. Kikao hiki ni kikao maalum, let us give this<br />
place the dignity it requires.<br />
Philip Leshinka: Asante, kwa jina naitwa Philip Leshinka na maoni yangu ni kama yafuatayo. Kwanza tunaanza na MP,<br />
mwakilishi wa area. Utakuta ya kwamba MP akichaguliwa, kuna wengine ambao hawezi kabisa ku-deliver. Kwa hivyo<br />
ingalikuwa ni vizuri, wananchi wapatiwe mamlaka tena wamuondoe mbali na election ifanywe afresh. Pia kabla MP<br />
hajachaguliwa, ingalikuwa ni vizuri sana, yule MP angaliweza kukaguliwa aeleweke ni mtu wa aina gani. Ni mtu mfisadi ama ni<br />
mtu ambaye ni kamili. Ili asiingie katika Bunge na kuanza kutumia yale mamlaka, either kujitajirisha ama kufanya mambo<br />
mengine ambayo hayapendezi wananchi. Kwa sababu tunamweka pale kama mwakilishi wetu, aweze kuendeleza masilahi yetu.<br />
Jambo la pili ambalo nachangia ni juu ya President. President awe ni President aliye na mamlaka ili aweze kuendeleza nchi. Na<br />
kabla ya awe President, akaguliwe ajulikane ya kwamba ni mtu ambaye kweli anaweza kuendeleza wananchi, ana experience.<br />
Si mtu tu ambaye atakuja kuleta mambo hata pengine hawezi kujua ataendeleza wananchi namna gani.<br />
Pia Presient asichaguliwe kama MP. Awe amechaguliwa kama President wa nchi kwa sababu akichaguliwa kama MP, an<br />
elected MP, kwanza ataangalia masilahi ya area yake. Na kwa hivyo ni vizuri awe sio sitting MP. Pia, President akiwa na<br />
mamlaka na mamlaka hayo ayatumie vibaya, sisi wananchi ndio tulio mli-elect, na kwa hivyo mamlaka yetu wananchi