constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
45<br />
Ya pili kwa upande wa tax: Zile pesa za tax, kuna pesa ambazo Serikali ilikuwa imepitisha kitambo, ilipwe wale watu ambao<br />
wako katika eneo la… wako jirani na eneo la game reserve na national park. Kwa sababu watu hawapati. Ya pili, ni mambo ya<br />
school bursaries, school bursaries tunazungumzia pesa zinazopatikana kwa National Parks, gate fee. Imekuwa ya kwamba<br />
every National Park within Kenya ni kwamba itasaidia wale watu wako kwa community. Lakini haikuwi hivyo.<br />
Tungelipenda sheria iangaliwe vizuri kwa sababu zile pesa ambazo zinapatikana kwa kila National Park, hazisaidii wale wenyeji<br />
wa eneo lile. Wanapeana 1% badala ya kupeana nusu kwa nusu ambapo ingesaidia the local people around the National Parks<br />
and Game Reserves. Amboseli National Park, Chyulu Hills National Park, Tsavo West National Park, tungeliomba ile sheria ya<br />
1952 ambayo ilikuwa imewekwa kwamba hawa ni wenyeji, irudishwe na iangaliwe kwa sababu hawakuuza. Hakuna sehemu<br />
ambayo wazee walikaa katika eneo hilo na waka-sign kwamba Serikali imechukua hiyo sehemu kama National Park. Waulizwe<br />
tena na iwe <strong>review</strong>ed. Tujue ni kwa nini hiyo area ilienda na hatujui ni kwa nini. Kwa hivyo tungeliomba na tunahakikisha ya<br />
kwamba sisi Wa-Maasai wa eneo hili pamoja na Maasai Mara na Wataita kutoka Tsavo West, tumeanza (inaudible)<br />
sanctuaries zetu, kuonyesha Serikali ya kwamba tuna uwezo wa kuweza ku-manage our national reserve and tax irudi kwetu.<br />
Elected Councillors: Elected Councillors and Chairmen should be elected by the people themselves katika grassroot.<br />
Nominated Councillor mimi ningeonelea kwa maoni yangu ya kwamba hatuoni kazi ya nominated Councillor tukiwa na elected<br />
Councillors kwa sababu wamechaguliwa na sheria ya elections. Kwa sababu hawa nominated wanachaguliwa na wanachama,<br />
wanachaguliwa na MP wa area hiyo akikupenda. Kwa hivyo nominated Councillors out. Wale ambao wamekuwa elected na<br />
Election Commission iwe hivyo. Pia hapo wachukue tu miaka mitatu na waweze kubadilishwa. Asante.<br />
Com. Bishop Njoroge: Unajua kuna shida kwa sababu akina mama, wengi hawachaguliwi Bunge. Kuna watu kama disabled<br />
ambao hawawezi kuingia Bunge, kwa sababu hawezi kufanya campaign kama wale wengine. Hutaki tuache nomination kama<br />
iingie special groups? Hiyo itaweza kuwa namna gani?<br />
Daniel Molunkei: Nafikiri kulingana na sheria kwa upande wangu mimi. Nafikiri mtu yeyote ambaye huwa elected ni kufanya<br />
siasa zake. Nimewahi kuona Kenya mtu ambaye hana miguu na ametembea na amekuwa Mbunge. Kwa hivyo sijaona sababu<br />
mtu yeyote kusemekana ni mlemavu na anataka kuwa Mbunge ama Councillor. Kwa hivyo kwa upande wangu, mtu ambaye<br />
anataka kuwa amechaguliwa, kuna ile sheria ambayo iliwekwa. Kuna sheria ambayo ilikuwa imewekwa. Kwa hivyo sio sababu<br />
ya hiyo. Kama kutakuwa na special groups, kwa upande wa watu wowote. Basi itatangazwa. Kutakuwa na special ambapo<br />
kila mmoja ana uwezo. Kwanza siku hizi akina mama ndio wako na nguvu zaidi kuliko wanaume. Ni wengi zaidi.<br />
Com. Bishop Njoroge: Wacha tuongeze kidogo. Katika ile Act ambayo inaongoza Commission hii, inasema kuna kitu inaitwa<br />
National Constitutional Conference na hiyo ndio itaamua ile ripoti ambayo tutaandika iwe Katiba. Katika hiyo National