27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

9<br />

Constitution. Ambayo katika district, itakuwa tu wakati kura inafanywa elections. Tuwe na Local Authority, kutoka Local<br />

Authority tuwe na Regional Authority.<br />

Com. Lethome: Hiyo Regional Authority itakuwa katika ngazi gani?<br />

Rev. Elias Ntoipo: Unamaanisha nini unaposema ngazi gani?<br />

Com. Lethome: Will it be at the Provincial level?<br />

Rev. Elias Ntoipo: Yes. It will be at the Provincial level.<br />

Com. Lethome: Majimbo will be a Province?<br />

Rev. Elias Ntoipo: It will be a Province. Ndio. Kama Rift nasema kwamba, igawe mara tatu, iwe North, iwe South, na<br />

Central. Hiyo ndio namaanisha. Kwamba ni region, sio katika kikabila. Aah ah - katika wale watu ambao wanakaa katika<br />

sehemu fulani ya given area.<br />

Com. Bishop Njoroge: Asante kwa maoni hayo. Palashina Ole Sunkuri.<br />

Palashina Ole Sunkuri: Mimi kwa majina ni Palashina Ole Sunkuri. Maoni yangu ni kwamba wakati mzungumzaji<br />

alipozungumzia mambo ya nchi kukuja kugawanywa kama sehemu ya Loitoktok hii. Ilikuwa iko kiwango ambayo wale<br />

wataalamu wa zamani walikuwa wanatuweka. Anasema kila mtu ni elfu moja. Lakini wakati huu, sijui vile ilifanyika mpaka<br />

wengine wanapata elfu tatu kwa kazi na wengine wako na zaidi ya elfu tatu. Nikaona hapo ni kama wagawaji ardhi<br />

wananyanyasa wengine. Tunataka kila kitu kiwe sawa.<br />

Kwa sababu kuna watu ambao hawana uwezo na wanaweza kunyanyaswa na wale ambao wako na uwezo. Sasa, kuja hapo<br />

tena kuweka ile tunaita Land Control Board, imemaliza watu kabisa. Ziko familia ambazo saa hii, hakuna hope hata ya acre<br />

moja. Kwa sababu ile kitu inatendeka hapo, tunakuta familia ni Mzee anaenda kuuza shamba, watoto hawajui, mama hajui, ni<br />

karatasi tu tunapelekea Mzee, aambiwe katika hiyo land ambayo alikuwa anaishi. Hiyo tumeona hapo, ni wanyanyasaji<br />

wakubwa kwa sababu hawa wananchi wenyewe wapewe ardhi yao. Waangaliliwe ardhi yao vile wanakaa. Kwa sababu<br />

mambo mengine unaona kama Commissioner wa Land huko Kajiado, hata huyu anaishi Kajiado, hana pesa ya kwenda huko<br />

kulalamika. Wanakimbia hapa hapa tu, kuzunguka kama chura akiwa ndani ya maji na hakuna kitu mtu anaweza kufanya. Sasa<br />

ardhi inaenda namna hiyo. Sehemu moja.<br />

Ya pili, tuko na mila, ambayo saa ingine tunakuwa kama Uongozi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!