constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
19<br />
kusemekana watu wa Nairobi - nikisema Nairobi, hamtapata maji hawawezi. Now, port ya Mombasa ndio mnapeleka mavuno<br />
yenu na watu wa Mombasa wakisema kutoka leo port…kuna nyingine ambazo zitadumishwa na Serikali na zingine zidumishwe<br />
na Jimbo?<br />
Paul Njuguna: Ninaposema hivyo, nasema ya kwamba, maji hayo huwa yanauzwa hata hapo Nairobi, lakini hizo pesa maji<br />
inapouzwa, zirudishiwe wananchi walioko pale.<br />
Com. Bishop Njoroge: Alais Ole Kisonokoi<br />
Alais Ole Kisonokoi: Neaku ta pe airo ena enkutuk ormaasai. Ore ta ene dukuya kaji Alais ole Kisonokoi.<br />
Translator: Ninaitwa Alai Ole Kisonokoi.<br />
Alais Ole Kisonokoi: Na ara ata olopeny ena area le Ntonet ene naamanya.<br />
Translator: Mimi ni mwenyeji katika area ya Endoneti.<br />
Alais Ole Kisonokoi: Ore maoni ai na iji eikunino.<br />
Translator: Maoni yangu ni kama yafuatayo,<br />
Alais ole Kisonokoi: Ore enchoto edukuya naishari ana Amboseli, ana Tsavo na kijoito enkop ang apa neshomo mikiyiolo<br />
kaoitoi apa eshomokie.<br />
Translator: Ile ardhi yetu kama Tsavo West, pamoja na Amboseli, tunasema sisi kama Wamaasai ni ardhi yetu na<br />
imenyakuliwa.<br />
Alais Ole Kisonokoi: Nikijo oi teneshukunye alotu enkop ang ana ake.<br />
Translator: Tunasema ya kwamba, tungehitaji irudi ama irudishwe kwa wenyewe.<br />
Alais Ole Kisonokoi: Amu ore nena nguesi na iyiok leitu ear amu ikiyiolo muhimu ene na iyiok otapala.<br />
Translator: Maana wanyama wa pori ni sisi kama wenyeji wa Maasai, tulikataa kuwaua kwa hivyo tulikuwa tunajua umuhimu<br />
wake na hata hivyo hatuku….<br />
Alais Ole Kisonokoi: Kigira aomonu ore inakop ang apa kinitapalie nena nguesu naba neija nearita iyiok nearita<br />
nkishu ang nimikiata napatao nikitumito ikidolita ajo enkop apa nashomo tenkoitoi nguesi.<br />
Translator: Tunaona ya kwamba nchi hiyo yetu imenyakuliwa na wanyama wale wako hapo wanaendelea kuumiza wenyeji.<br />
Na tunaona ya kwamba hiyo nchi imenyakuliwa kwa njia mbaya. Kiasi ya kwamba ni kama kulikuwa na mpango wa Serikali<br />
kunyakua hiyo nchi ili Wamaasai waumizwe na wanyama.