constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
40<br />
watu, inamtuma mtu wao wa kuwakilisha kule. Lakini hili jukumu naona labda halingepatiwa political partie au labda President<br />
au anybody else. Tuipatie special groups in the societies.<br />
Tume-experience tortures mingi na polisi, wakati wanashika watu. Labda unaanzia kuwa tortured na naona kuna sehemu kwa<br />
sheria za Kenya inayosema. Somebody is innocent until proved guilty. Sasa hii torture, nafikiri our police force ingeweza kupata<br />
training, ijue jinsi ya kuweza kujua kama kweli mtu alifanya jambo au hakufanya badala ya kuenda kwa torture.<br />
Kuwe na free education, Serikali inaichangia kwa budget yake. Tungekuwa also na free medical care. Kwa upande wa<br />
biashara labda kungekuwa na free education. Ingejaribiwa kuwekwa kwa kila pahali na kuwe na minimum charges kwa sababu<br />
naona baadaye labda itapata tax hapo, it will make money. Lakini saa hii inakuwa ni shida sana, wanaingiza labda a million.<br />
Kuweka sehemu fulani watu wafikishe (inaudible) kama wanataka nini. Inakuwa ni vita, watu wanakusanya, mnaambiwa labda<br />
mtapewa million, two million na hii kitu naona kama itaturudisha nyuma sana. Kama Serikali ingeweka halafu iendelee kutu-tax<br />
pole pole. Naona kama tungefaidika sana.<br />
Com. Bishop Njoroge: Thank you very much John. Kennedy Macharia. Joyce N. Peniti.<br />
Joyce Peniti: Kwa majina ni Joyce Peniti na ninaanza na education. Education inatakiwa ichukuliwe iwekwe maanani kabisa,<br />
zaidi kwa wasichana. Kwa sababu kuna mahali kwingine, makabila zingine kama Wamaasai na Wasomali na Wasamburu<br />
hawachukulii maanani kwa wasichana kuenda shule. Kwa sababu wanapenda kusema wanauza wasichana. Iwekwe maanani<br />
kabisa na iwekwe sheria ya kwamba kama mtu hajasomesha mtoto anachukuliwa hatua. Hilo ni la kwanza. ‘<br />
La pili ni kwamba, kama habari ya wanyama, wanaumiza watu sana na Serikali haichukulii maanani. Maana kama mnyama ikiua<br />
mtu, Serikali haisikii uchungu. Lakini raia akiua mnyama, Serikali inasikia uchungu sana sana. Inatakiwa vile inasikia uchungu<br />
kwa mnyama, isikie uchungu kwa binadamu.<br />
Ya tatu ni kwamba Administration iendelee kama zamani. Kwa sababu kama hatuna Ma-D.O au Ma-DC, na Ma-Chiefs,<br />
wananchi wataumia. Kwa sababu tukisema eti, Councillor anasimamia mahali ya Chief au mahali ya D.O., mambo itabadilika.<br />
Kwa sababu saa ingine, sikumpendelea yule Councillor au sikumchagua lakini nikienda na shida yangu, atanipinga maana<br />
sikuwa nimemchagua. Kwa hivyo Administration iendelee kama zamani.<br />
Mahali ya Rais: Rais anatakiwa achaguliwe na akae muda wa miaka kumi. Baadhi ya Councillor, Mayor na Ma-Chairmen,<br />
wachaguliwe na raia. Tunapopiga kura, tupige kura kwa njia ya kuchagua Mayor na kuchagua Council chairman. Ni hayo tu.<br />
Com. Bishop Njoroge: Asante sana Joyce kwa hayo maoni mazuri. Mletee kitabu. Aminga, can you register her from there?<br />
John K. Gichia. Akifuatwa na Samuel Nyaoga.