27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

73<br />

irudishwe kwenye mamlaka ya wale watu ambao wako karibu na zile sehemu.<br />

Pia kama haitazekana kabisa, iwe asilimia themanini na tano ya mapato ya kutoka kwenye yaani sehemu kama Amboseli na<br />

Tsavo, iwe inaandikwa wale wananchi wanaozunguka ile sehemu. Kwa kuwa wale wananchi ndio wanaumia, ng’ombe zao<br />

zinaumia na wanyama wa pori na pia hata wao wenyewe ndio wanaliwa na simba. Kwa hivyo kwa njia ile ama nyingine, wale<br />

watu ndio wanaadhirika kuliko watu wa mbali ambao wanakuja kutoa pesa pale na hawana faida yeyote, anawachia wale<br />

wananchi wanaozunguka hizo sehemu.<br />

Lingine ningetaka hizi Title Deeds za mashamba, ziwe zinakaa kwenye <strong>of</strong>isi kama ya D.O. na asiwe mtu kama Registrar ambaye<br />

anakaa sehemu ile, baada ya miaka mitano yeye ametajirika hata kuliko hata Waziri aliyeko kwenye Ministry. Kwa ajili mtu<br />

yeyote akitaka Title Deed, yeye mpaka tulipe yeye kwa namna ile ama nyingine. Kitu kama hicho ningetaka iwe katika <strong>of</strong>isi ya<br />

D.O. Kuhusu Ma-Chiefs: Ma-Chiefs kwa maoni yangu ningetaka mimi kwa mawazo yangu ama kwenye hii Katiba<br />

tunayotengeneza wa leo, Chifu awe anachaguliwa na raia wa sehemu yake na awe amehudumu miaka saba.<br />

Baada ya miaka saba iwe pengine ataangaliwa kwa kura ya maoni kama bado wananchi wanampenda au hawampendi. Ili asije<br />

kukaa na kujisahau kabisa kama ilivyo sasa. Maana Chifu hatujampata hata saa hii sasa. Anakaa hata miaka mia moja, sijui ni<br />

uzee utawaondoa hapo na anaweza kufanya chochote anachotaka maana yeye amekuwa ni mtu permanent. La mwisho kabisa<br />

ningeomba Serikali za wilaya yaani hawa Ma-Councillors. Ma-Councillors wawe ni watu wamesoma kidogo. Ma-Councillor<br />

wateule wasiwe wanateuliwa kwa ajili ya chama. Councillor kama anateulwa awe ni mama ama ni mlemavu ambaye hawezi<br />

kujitetea kabisa. Asante.<br />

Com. Lethome: Ungependekeza elimu yake iwe katika kiwango gani?<br />

John Komoi: Awe kwanzia Form Four na kuendelea.<br />

Com. Lethome: John Lemantu.<br />

John Ole Lemantu: Ore ta nanu nainei na naji John Lengeteo ole Mantu.<br />

Translator: Anaitwa Lengeteiyo Ole Lemantu.<br />

John Ole Lemantu: Namanya eda kop or lashanjani.<br />

Translator: Kutoka hapa Loitoktok.<br />

John Ole Lemantu: Ore ta nainei tendoropu na ore ene wueji olainguenak na ninye aiteru.<br />

Translator: Yeye anaanza kwa upande wa Ma-Chifu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!