constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
79<br />
kuangalia masilahi yao. Kwa sababu tukiwa sasa sisi Ma-Councillors hatuna mishahara lakini kwa sababu hatuendi Bunge,<br />
hatuendi Bunge, kwa hivyo hatuna watu wa kututetea. Lakini wale wanajitetea wenyewe, wanajipatia pesa chungu nzima.<br />
Ma-Chiefs wawe ni watu ambao wanachaguliwa na wananchi kama zamani na wawe wamehitimu kidato cha nne. Wakati wa<br />
kukaa, kama ni miaka tano, akichaguliwa pamoja na Councillor naye aende kwa wananchi atafute tena, kama ni mzuri, apewe<br />
tena arudi.<br />
Mishahara ya madiwani: Mishahara ya madiwani isiwe inaangaliwa na district, iwe mishahara inapeanwa na Serikali Kuu. Kwa<br />
sababu vile nao madiwani hawana mishahara, ni kwa sababu inarudishwa katika area zao. Zingine zina pesa, zingine hawana.<br />
Kwa hivyo iwe, Central Government ndiyo inatoa mishahara ya madiwani.<br />
Mahakama: Mahakama iwe na wazee wa kuangalia ya kwamba huyu mtu amekuwa namna gani. Mahakama iwe na wazee wa<br />
kuangalia wale watu. Kama mahakama ya hapa kwetu ni kwanzia hapa wakazalia ya kwamba, huyu mtoto kweli hajafanya hivi,<br />
amedhulumiwa, hawezi kuwa namna hii. Kwa sababu wengine ni (inaudible) na mtu anataka Councillor apate ile kitu ambayo si<br />
haki.<br />
Jela ya Kenya iangaliwe kwa sababu si kama wanadamu wanaenda ile jela ni kama wanyama. Iangaliwe. Kwa sababu yule mtu<br />
hata kukosa kwake ni nini kubwa sana. Kwa hivyo aangaliwe apate pahali mzuri, akule pahali mzuri na aende kazi. Kwa hivyo<br />
jela za Kenya ziangaliwe.<br />
Hospitali: Hospitali iwe ya bure katika nchi ya Kenya. Mazingira yetu ama zile rasilimali Mungu alitupa. Serikali inakuja, inakuja<br />
kuchukua kama maji haya ya Loitoktok, haisaidii sisi wenyeji na sisi tulipewa na Mungu, sasa inaenda kusaidia watu wawili au<br />
watatu. Kwa hivyo kila kabila ikae na mali yao walipewa na Mungu. Kama ni mawe iwe sisi tunaangalia. Kama ni maji iangalie<br />
na tutoshereke lakini si kuja kuchukuliwa kupelekwa pahali pengine.<br />
Wanyama wa pori: Wanyama wa pori katika Serikali iliyoko, ni heri mnyama kuliko binadamu. Ni heri mnyama kuliko<br />
binadamu na sisi kutoka tuzaliwe, sisi Wa-Maasai tunakaa na wanayama kwa miaka hii yote na wanyama ndio sababu iko nchi<br />
ya wanyama. Wanyama katika nchi yetu. Kwa hivyo tunataka, zile tunalipwa, si chini ya shilingi elfu mia tatu. Tunataka tulipwe<br />
kama vile sisi tunalipa (inaudible). Kwa sababu sisi mtu, tunalipa ng’ombe arobaini na sita, ukiwa Maasai ukifika. Na sisi<br />
tulipwe, tupewe ya kwamba, mnyama zamani kwa sababu tulikuwa tunakaa na nini…ikikosea hivi, tunalipwa nini. Sisi tupewe<br />
hilo jukumu la kuamua. Serikali irundi huko ituulize, mnataka pesa ngapi.<br />
Mambo ya matangazo ya KBC katika Kenya. Inakuwa ni ya chama moja na tuko katika nchi ambayo iko vyama vingi. Hakuna<br />
kitu ambacho inasaidia kwa matangazo katika vyama vingine. Itakuwa ni ya chama moja. Kwa hivyo tunaonelea ya kwamba<br />
KBC irudi kuwa Kampuni. Isiwe inahusika na Serikali ile iliyoko. Iwe inajisimamia na itangaze na ifanye biashara. Nafikiri yangu