27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

88<br />

Translator: Maana kama ni mambo ya mashule, hata sisi tunayo.<br />

Lepapa Ole Potu: Ore si na keoshitoi kodi, kioshito si iyiok.<br />

Translator: Kama ni wakati kodi ama ilikuwa inatoshwa ushuru, hata sisi tulikuwa tunalipa.<br />

Lepapa Ole Potu: Nidol nkuti tokitin naitayieu ina eyieu neibelekenyi ena Katiba.<br />

Translator: Na kuna mambo mengi sisi tungependelea katika Katiba hii ibadilishwe.<br />

Lepapa Ole Potu: Ama tadoi tinimiata nkulukuok niboitare nguesi, nirita ana nkishu nijo aar nimikilaki na lekua<br />

kulie laya mpisai enena nguesi meishori loboitare, ama, ine meosina.<br />

Translator: Anasema shida ile ambayo tunaye, tungependa ibadilishwe haraka ni kwamba ardhi ile tuliyo nayo haitusaidii<br />

maana tuanishi na wanyama, wanyama wakituuwa hailipwi. Sasa hatuna wanyama, hatuna pesa na hatuna ardhi.<br />

Lepapa Ole Potu: Amu nai ninye olopeny inkiteng iyieu ropiani ntomoni uni nelaki enker kiasi hii.<br />

Translator: Kwa sababu tunapokaa hatuna ardhi na wanyama wanatua na utalipwa shilingi elfu thelathini.<br />

Lepapa Ole Potu: Ainyo doi pelakieki ina nguesi millioni.<br />

Translator: Kwa hivyo hawa wanyama wanalipwa mabilioni ya fedha.<br />

Lepapa Ole Potu: Ne nibung nai ningesuni etuni nai peno mikidungi orkos.<br />

Translator: Na ukienda kushika swala, utaweza kuuawa hata.<br />

Lepapa Ole Potu: Nadol tenkalo ai ajo ore oshi nguesi na nkuna ang irmaasai.<br />

Translator: Yeye amesema basi kama tunaishi na wanyama, basi wanyama wawe ni wetu.<br />

Lepapa Ole Potu: Na keyieu neshukoki nai iyiok na ninye siake nusu maisomie nkera amu euwo na osina enkop.<br />

Translator: Basi turudishiwe zile fedha zote, sisi tuwe tunasimamia ili tuweze kusomesha nayo watoto.<br />

Lepapa Ole Potu: Ore si ene wueji onkuapi aninginingito tonkuapi apa nawaki nashukokini lopeny.<br />

Translator: Anasema pia katika Katiba hii angependelea kwa sababu kuna ardhi nyingi ambayo jamii nyingi walinyang’anywa<br />

na walirudishiwa ardhi yao.<br />

Lepapa Ole Potu: Ayieu si nanu neshukokini iyiok oltukai neshukokin iyiok olailelai.<br />

Translator: Na sisi tunapenda turudishiwe ardhi yetu ambayo ilinyakuliwa kama Amboseli na sehemu ya Tsavo.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!