27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

3<br />

Com. Lethome: Watu wa Loitoktok hamjambo? Asanteni.<br />

Com. Bishop Njoroge: Tuna ma-<strong>of</strong>ficer kutoka kwa Tume, tuna program <strong>of</strong>ficer ambaye atatujulisha wafanyikazi wengine<br />

aliokuja na wao.<br />

Joash Aminga: Habari zenu? Kwa majina mimi naitwa Joash Aminga, mimi ndio program <strong>of</strong>ficer, tuna verbatim recorder<br />

ambaye atakuwa akinasa sauti ya yale maneno mtakayoongea, anaitwa Alice Thuo. Pia kuna Osogo Ambani, ambaye<br />

anaandika yale yote mnayoyanena! Asante.<br />

Com. Bishop Njoroge: Pia tuna District Co-ordinator ambaye atakuwa akifanya kazi katika district hii ya Kajiado na<br />

ningetaka aje hapa mbele aseme kama kuna members wa committee wake, atujulishe kwao kwa dakika moja. Karibu<br />

Co-ordinator.<br />

Ben Ole Mulei: Mimi kwa majina naitwa Ben Ole Mulei na tumekuwa pamoja na nyinyi wote, karibu. Nafikiri wote tunajua.<br />

Na nasema karibuni sana. Leo ndio ile siku tulikuwa tunangojea. Pamoja na mimi, nimekuwa na msaada kutoka kwa wenzangu<br />

ambao wametoka katika committee hii ya kushughulikia mambo ya kufundisha watu juu ya Katiba. Niko na Chairman wetu wa<br />

CCC, wa Kajiado South Constituency naye ni Councillor Jacob Lesingo, yuko hapa. Tuko na Bwana Daniel Somoiye. Yuko<br />

hapa. Wenzetu, kwa sababu ya wingi wa kazi, tuligawana. Wengine tulikuwa Kimana jana, tulikuwa Rombo wengine kwa<br />

sababu ya haya matayarisho tu na nimeshukuru. Mmeitikia kuitwa na ninahakikishia Ma-Commissioners wangu kwamba bado<br />

watu wanakuja. Watakuja. Na kwa hayo machache, singependa kupoteza muda, ningerudisha tu kwa Commissioners<br />

waendelee na kazi yetu.<br />

Com. Bishop Njoroge: Kila mahali tumeenda, tukija hapa - tumetoka Turkana, Pokot, Marakwet - tumefurahia ile huduma<br />

Provincial Administration wamefanya kwa ajili ya kazi hii. Kama Lodwar tulikaa siku nzima na wamekuwa na msaada kwetu<br />

sana. Wakati tulipokuja hapa jana, tulikuwa na D.O wa Loitoktok ambaye ametuhudumia vizuri na tumeshukuru. Kwa hivyo<br />

ningempatia D.O. atukaribishe rasmi ili tuweze kuendelea na mkutano wetu.<br />

Malim Mohammed: Commissioner Njoroge, Commissioner Ibrahim Lethome, Co-ordinator wa CKRC, Bwana Mulei,<br />

Program Officer ambaye ako hapa na wenzake wengine: Mwenyekiti wa KANU, viongozi na madiwani, Ma-Chifu na<br />

wananchi kwa jumla hamjambo? Basi, nafikiri kwanza ni kushukuru Mwenyezi Mungu kwa sababu ni siku nafikiri tulikuwa<br />

tukingojea kwa muda, na wengi wangelipenda labda kuja kupeana maoni yao kwa ajili ya hii Katiba, lakini hawako na sisi leo.<br />

Kwa hivyo wale tuko hai, inafaa tushukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kufika siku ya leo. Ni bahati kubwa sisi<br />

Wana<strong>kenya</strong> baada ya uhuru kupewa fursa ya kuja kuongea mambo ya Katiba ya nchi yetu. Kwanza kabisa nachukua hii nafasi<br />

kuwakaribisha Commissioners wa Tume ya kurekebisha Katiba, Bwana Njoroge, Bwana Ibrahim Lethome na ma<strong>of</strong>isa<br />

walioandamana na hawa katika sehemu ya wilaya ndogo ya Loitoktok.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!