constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
64<br />
Jambo lingine ni kazi: Wanafunzi wengi wanapomaliza shule wanakosa kazi wanakuwa ni kuzurura tu huko mitaani. Kwa hivyo<br />
ningependelea kwamba, kuwe na kazi ambayo mwanafunzi akimaliza shule anapata, elimu isiwe haina maana.<br />
Jambo lingine ningependelea Serikali ipatie mashule televisioni na maredio. Hii ni kwa sababu kupitia hivi vyombo, inafanya<br />
elimu iwe bora zaidi kwa sababu wanafunzi watapata maarifa zaidi kupitia vyombo hivi.<br />
Jambo lingine, wanafunzi wapewe wakati wa kushiriki katika michezo. Sio kila wakati wako darasani tu wanasoma lakini<br />
washiriki hata katika michezo. Asante.<br />
Com. Bishop Njoroge: Asante sana. Tutarudi kwa list, nilisema hivi; watu wataitwa kulingana na vile walivyokuja. Kwa<br />
kawaida yetu ni kwamba, isipokuwa wanafunzi na waalimi, hatupendi kupita mtu. Yule aliyependa kuzungumza, angekuja<br />
mapema zaidi. Ukiwa hujaitwa ujue ni mahali ulikujia na utangoja mpaka jina lako lifikiwe. Tulipoanza niliwaambia nitakubali<br />
mjamzito, nitakubali waalimu na wanafunzi warudi shule lakini hao wengine watafuata ile orodha ya majina, kila mtu nafikiri<br />
angependa kwenda. What is your problem? You are a teacher? Which school? You come here, you qualify.<br />
Stephen Gacheru: I am Stephen Gacheru Thaita and I think you will have to bear with me because I will have to make my<br />
submission in English. In respect <strong>of</strong> our Government system, I wish to propose the retention <strong>of</strong> our unitary system but the Local<br />
Authorities should be strengthened.<br />
In respect <strong>of</strong> the Executive, I wish to propose the following changes in the Office <strong>of</strong> the President. One, he shall have to swear<br />
an oath <strong>of</strong> allegiance subscribing to the oath that since this <strong>of</strong>fice is a Constitutional creation, he shall be subject to any<br />
subordinate to the Constitution. Secondly, I wish to propose that the Vice-President should be voted for directly by the people<br />
and upon the death, resignation or dismissal <strong>of</strong> the President, he should assume all the powers and prerogatives <strong>of</strong> that <strong>of</strong>fice. In<br />
such an event, the Vice President shall be deemed to have completed his first five-year term. I also wish to propose the<br />
inclusion <strong>of</strong> an impeachment Act in our Constitution, clearly stipulating grounds upon which the President can be removed<br />
through a vote <strong>of</strong> no confidence. I also wish to propose the creation <strong>of</strong> the Office <strong>of</strong> the Prime Minister who shall be the Head<br />
<strong>of</strong> the Government and who shall be responsible for making all senior appointments subject to parliamentary scrutiny and<br />
ratification or rather approval.<br />
I also wish to suggest that the Police Act should be changed so that the Commissioner <strong>of</strong> Police shall be appointed by the Prime<br />
Minister subject to parliamentary approval and that he shall be answerable to Parliament for all acts <strong>of</strong> <strong>commission</strong> or omission<br />
committed by his staff.<br />
I also wish to propose the creation <strong>of</strong> a new <strong>of</strong>fice, the <strong>of</strong>fice <strong>of</strong> the ombudsman. This <strong>of</strong>fice shall be tenured, the <strong>of</strong>fice shall be