27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

53<br />

ndio wanajua shida za wananchi wao.<br />

Soko huru imeumiza umma. Kwa hivyo hiyo soko huru ifutiliwe mbali. Ma-Chiefs wawe lakini wachaguliwe na watu wa eneo<br />

lake. Sio Bunge. Kwa sababu kunaweza kuwa kuna mpinzani, atachagua mwenzake na pengine hajaridhisha umma. Kwa hivyo<br />

Ma-Chief wawe lakini wachaguliwe na umma.<br />

Hospitali: Tuna shida ya mahospitali kwa sababu madaktari wetu wakuu wanafanya biashara. Unakuta daktari mkuu wa<br />

hospitali, anakuandikia madawa ya kwenda kuchukua kwa clinic fulani. Kumbe ni clinic yake. Kwa hivyo iangaliwe mfanyi<br />

biashara na muhudumu wa umma.<br />

Com. Bishop Njoroge: Unataka kusema ya kwamba, madaktari wana<strong>of</strong>anya kazi kwa mahospitali ya Serikali wasikubaliwe<br />

kuwa na clinics zao?<br />

Ibrahim K. Kailepi: Wasikubaliwe kuwa na clinics zao. Wanaumiza umma na waalimu wasikubaliwe wawe na biashara zao.<br />

Asanteni.<br />

Com. Bishop Njoroge: Thank you very much. Joseph Kulare.<br />

Joseph Kulare: Kwa majina ni Joseph Kulare kutoka Ilasit Loitoktok. Nikizungumzia hoja ya kwanza ni kwa President.<br />

President apunguzwe madaraka yake. Asiwe na madaraka ya juu zaidi kwamba akitaka kuvunja Bunge, anavunja tu bila taarifa<br />

yeyote. Ma-Chiefs, MPs, wawe wakichaguliwa na wananchi na wahudumu kwa muda wa miaka mitano ndio wafanyiwe<br />

elections. Hata President asikae kwa muda wa miaka kumi. Iwe full term. Mambo ya culture: Culture itupiliwe mbali kabisa<br />

especially Wa-Maasai wenzetu wanasoma kutoka form one, form four, wanaenda mambo ya ukarani, na hawa Ma-MPs<br />

wanatumia hawa makarani ku-succeed, kupitia kura daraja ya kwenda Bungeni. Pia the formation <strong>of</strong> the Government:<br />

Tunataka Serikali ya Majimbo ili Serikali iwe na uwezo wa kuangalia watu katika eneo hiyo na wajue idadi ya watu walioko<br />

katika eneo hilo. Especially ya kwetu Loitoktok, sijapendelea sehemu zingine ziwe hivyo lakini kama kwetu Loitoktok, tuna<br />

watu kutoka Tanzania, Rwanda, Burundi, wamepotelea huko for ages na huyo mtu akifa analeta shida. Hujui huyo mtu ametoka<br />

wapi na haujui alikuwa mharifu kutoka nchi fulani ndio akahamia upande huu. Kwa hivyo tuwe na formation ya Majimbo. Ikinge<br />

wale wenyeji wa hizo sehemu za hapo karibu.<br />

Land Act: Mashamba mimi nafikiria kwa council isiuzwe bila kupitia kwa familia iwapo tu kuna shida ya dharura ambayo<br />

ingefanywa waweze kuuza hiyo shamba. Kwa ajili mashamba unakuta inauzwa ma<strong>of</strong>isini, iki-signiwa tu na yule karani wa land,<br />

unakuta familia haijui mtoto wao ameuza shamba. Ukienda kwa Chifu, Chifu anakwambia wewe angalia ile sehemu yako<br />

uliachiwa, wacha huyu ale mali yake. Kwa hivyo Chiefs nao wasiwe na powers, kuwa na Kangaroo courts katika <strong>of</strong>isi zao.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!