27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

59<br />

Serikali ifikirie wale hawana kwa sababu kuna watu wanarundikana kwa railway line, hii reserve. Hiyo railway line ambayo ni<br />

reserve iko na railway, watu wanarundikana huko hawana mashamba na sio kupenda kwao. Zilinyakuliwa na wale wenye<br />

mamlaka zamani.<br />

Lingine mtu kama awe tortured na ichunguzwe ionekane hakuwa na hatua, huyo mtu anakuwa compensated kwa sababu labda<br />

ni madai ya uwongo na rushwa ilitendeka labda pale. Kwa hivyo yangu ni hayo tu.<br />

Com. Bishop Njoroge: Hebu nikuulize, si ni heri ku-recommend kwamba kusiwe na torture. Mtu akishikwa anapelekwa<br />

mahakamani kuliko baadaye. Kwa sababu hiyo ni rahisi. Mtu akishikwa anapelekwa wapi? Mahakamani. Si hivyo ndivyo<br />

ilikuwa? Sawa. Nenda pale. Let’s have Benjamin S. Masharen, headteacher. Karibu.<br />

Benjamin S. Masharen: Asante sana Mwenyekiti, ningependa pia kutoa maoni isipokuwa mambo haya ya Katiba ni magumu<br />

sana na yanakuwa na detail yaani mambo yanaenda ndani sana lakini hata hivyo nitajaribu kutumia wakati mchache sana kwa<br />

sababu mimi ni Mwalimu wa historia. Nikisema ni ku-lecture itachukua muda mrefu sana.<br />

Jambo la kwanza muhimu zaidi ni kwamba mimi niko proponent au kwa kinaganaga, mimi naunga mkono Serikali ya Majimbo.<br />

Lakini sio hii Majimbo ya wanasiasa wa Kenya ya ukabila ya kutaka makabila fulani wafukuzwe katika jimbo hilo. Ile federal<br />

government kama ile ya United States <strong>of</strong> America, Canada na nchi zingine ambazo zimeendelea. Sitafafanua sana kwa sababu<br />

itachukua muda lakini ijulikane kwamba maoni yangu ni kwamba naunga mkono Serikali ya Majimbo. Nije hapa nyumbani kwa<br />

sababu mimi ni mtoto wa hapa nyumbani, ningependa kusema kwamba kwa sababu Katiba inahusu haki za watoto. Hapa tuna<br />

makabila ambayo wanahamahama katika nchi yetu, zinaitwa pastoral communities. Kuna pengine Wa-Maasai, Wa-Rendille,<br />

Borana, Wa-Somali na kadhalika. Ningependa Serikali au Katiba yetu ambayo tutakuwa tunatengeneza wakati huu, ichukulie<br />

maanani makabila haya. Natumai Mwenyekiti wakati ulikuwa unakuja huku kwa gari, ukiangalia huko sehemu zimeachwa<br />

kabisa.<br />

Ningependa Katiba ichukulie maanani makabila yanayohamahama na wawe classified kama endangered species. Kama vile<br />

tumesema ukimwi ni janga, tuseme pia makabila hawa, wawe endangered species na kuwe na Wizara maalum ambayo<br />

itahusiana na hali ya kuchunguza haki ya makabila haya. Kuwe na Wizara katika Serikali ya kuangalia masilahi yao. Masilahi<br />

kama elimu ya bure. Wawe hao watoto wanapewa chakula ya bure kama incentive. Kitu ya kuwaweka moyo wawe shuleni.<br />

Wawe na free medical services au matibabu ya bure. Wakimaliza shule wawe wanapewa priority katika employment.<br />

Wanapewa mstari wa mbele katika kuajiliwa ili wawe kama wale wengine na wawe pia kama incentive kuwapa moyo wale<br />

hawajasoma ndio waweze kusoma. Na wawe wanapewa priority katika admission, katika enrolment. Hata saa ingine pengine<br />

hawajafanya vizuri katika mitihani yao kwa sababu ya shida, kwa sababu ya ukame, sehemu wanaoishi wawe wanapewa<br />

priority. Jambo lingine kidogo kugusia tu kwa sababu muda hautaniruhusu ni kwamba pia wananchi na wanyama. Hawa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!