27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

25<br />

Mtungeyi Mpaaye: Ena najo majimbo<br />

Translator: Ni kuhusu Majimbo.<br />

Mtungeyi Mpaaye: Ore ina naji majimbo nenare pekiata te shumata mpaka abori.<br />

Translator: Majimbo inatakiwa tuwe nayo kutoka ngazi za chini mpaka ngazi za juu.<br />

Mtungeyi Mpaaye: Pa ore ninye kulo kutikuti likitum na oitalakuni nikitum nkuti na kuna nkumok na nai na alang<br />

napuo shumata.<br />

Translator: Hata hizi pesa ndogo ndogo tunapata katika ngazi za chini, hazitusaidii.<br />

Mtungeyi Mpaaye: Nenare si sipitali peaku ene mwisho peaku ene pesho.<br />

Translator: Ya mwisho,<br />

Translator: Matibabu yawe ya bure.<br />

Mtungeyi Mpaaye: Ashe.<br />

Translator: Asante.<br />

Com. Bishop Njoroge: Asante sana Mzee kwa hayo yote. Fredrick Kimani, yuko wapi? Simeli Ole Nsempai.<br />

Simeli Ole Nsempai: Mimi maendeleo yangu nilikuwa napenda kama…..jina langu naitwa Simeli Ole Nsampai.<br />

Mapendekezo yangu nilikuwa nataka kama, unajua mimi sijui Kiswahili sana.<br />

Translator: Yeye kwa maoni yake anaona Serikali inatunyima haki yetu.<br />

Simeli Ole Nsempai: Amu kisom inkera badala peidip form four nedumuni neyai lorin netai ena kop nemeetai neima<br />

te mutihani.<br />

Translator: Maana unasomesha mtoto, unapomtafutia mtoto wako shule, inabidi umpeleke shule za hali ya chini kwa sababu<br />

hachukuliwi.<br />

Simeli Ole Nsempai: Kwa sababu mimi nilizunguka kwa sababu niliandikwa 1975 kwa kazi ya Serikali, anaenda mashambani<br />

kila pahali, anakuta walimu wote. Anajua elimu yote ilikuwa ni ya Wakamba, wanasomesha mandugu zao na lazima hao watoto<br />

wapite. Halafu napendelea Serikali itakayoingia, irudishie watoto wetu kusoma ili wakuje kusomesha mandugu zake.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!