constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
25<br />
Mtungeyi Mpaaye: Ena najo majimbo<br />
Translator: Ni kuhusu Majimbo.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Ore ina naji majimbo nenare pekiata te shumata mpaka abori.<br />
Translator: Majimbo inatakiwa tuwe nayo kutoka ngazi za chini mpaka ngazi za juu.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Pa ore ninye kulo kutikuti likitum na oitalakuni nikitum nkuti na kuna nkumok na nai na alang<br />
napuo shumata.<br />
Translator: Hata hizi pesa ndogo ndogo tunapata katika ngazi za chini, hazitusaidii.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Nenare si sipitali peaku ene mwisho peaku ene pesho.<br />
Translator: Ya mwisho,<br />
Translator: Matibabu yawe ya bure.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Ashe.<br />
Translator: Asante.<br />
Com. Bishop Njoroge: Asante sana Mzee kwa hayo yote. Fredrick Kimani, yuko wapi? Simeli Ole Nsempai.<br />
Simeli Ole Nsempai: Mimi maendeleo yangu nilikuwa napenda kama…..jina langu naitwa Simeli Ole Nsampai.<br />
Mapendekezo yangu nilikuwa nataka kama, unajua mimi sijui Kiswahili sana.<br />
Translator: Yeye kwa maoni yake anaona Serikali inatunyima haki yetu.<br />
Simeli Ole Nsempai: Amu kisom inkera badala peidip form four nedumuni neyai lorin netai ena kop nemeetai neima<br />
te mutihani.<br />
Translator: Maana unasomesha mtoto, unapomtafutia mtoto wako shule, inabidi umpeleke shule za hali ya chini kwa sababu<br />
hachukuliwi.<br />
Simeli Ole Nsempai: Kwa sababu mimi nilizunguka kwa sababu niliandikwa 1975 kwa kazi ya Serikali, anaenda mashambani<br />
kila pahali, anakuta walimu wote. Anajua elimu yote ilikuwa ni ya Wakamba, wanasomesha mandugu zao na lazima hao watoto<br />
wapite. Halafu napendelea Serikali itakayoingia, irudishie watoto wetu kusoma ili wakuje kusomesha mandugu zake.