27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

46<br />

Conference inasema, lazima iwe na watu watatu kutoka kila district na hiyo Act inasema specifically, mtu mmoja ni lazima awe<br />

mama. Tulipokuwa tukichagua committees za constituencies, Act ilisema 1/3 wawe akina mama. Kwa sababu mara nyingine<br />

akina mama……kwa hivyo unasema hata akina mama wapiganie uongozi?<br />

Daniel Molunkei: Sawa.<br />

Com. Bishop Njoroge: Sawa. Stephen Kariuki. Charles Kimani.<br />

Charles Kimani: Majina yangu ni Charles Kimani na nina maoni yafuatao. Kwanza ningependekeza kuhusu ukulima. Kwa<br />

wakaaji wa hapa, tunapata shida nyingi sana kuhusu ukulima, tunashindwa mavuno yetu tutayapeleka wapi kwa sababu hakuna<br />

ready market ambayo tunakuta iko. Especially kama cereals board ambayo tuko nayo hapa, inafaa kuwa under long run. Lakini<br />

unakuta iko under short run. Ningeomba Serikali iangalie kuhusu jambo hilo.<br />

La pili, ni taxrate. Unakuta taxation rates ziko juu sana kwa wananchi wa kawaida ambaye ukijaribu biashara yako ndogo<br />

ndogo, huwezi faulu. Kwa hivyo ningeonelea Serikali pia to consider that point.<br />

Pointi ya mwisho ni kuhusu job opportunities. Kazi zingefaa zinagawanywa kulingana na elimu na experience yako. Unakuta<br />

kama ni job opportunity mahali imetokea, unakuta the people who are there, hawafai kufanya ama hawana experience. So, that<br />

point also to be considered. Ni hayo tu.<br />

Com. Bishop Njoroge: Thank you very much Charles. Thuo Chege? Akifuatwa na Masalia Ole Kima. Masalia Ole Kima<br />

yuko? Na Saitoti Ole Maniki. Saitoti yuko? Patrick Maina yuko?<br />

Thuo Chege: Kwa majina ni Thuo Chege. Maoni yangu kuhusu Katiba ni kwamba national resources ziwe zikisaidia, 75% ya<br />

mapato ambayo itakuwa ikipatikana kwa national resources iwe ikisaidia watu wa ile area yaani locals.<br />

Land: Kuhusu schemes na land ambayo imekuwa ni ya Government, inapaswa ku-sub-divided ili any citizen ambaye ni eighteen<br />

years ambaye ametoka pahali land hiyo iko na kama land inapatikana, igawanywe kulingana na vile iko. Wasted land: Kuna<br />

mashamba mengi wasted. Kuna watu wako na kama ekari elfu tano na hawazitumii. Katiba ingebuni njia, watu wawe wakipata,<br />

wale ambao hawajatumia hiyo land, Serikali iwang’anye iwe utilized kwa wale wako as citizens. That is, it should be reduced.<br />

Powers za President zinapaswa kuwa limited, kama appointment <strong>of</strong> Judges na Commissions zinapaswa kuwa kwa raia. Quota<br />

system….<br />

Com. Bishop Njoroge: I beg your pardon. Judges wawe wakichaguliwa na raia?

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!