27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

51<br />

they are foregoing some costs for co-existing with wildlife. Therefore, priority should be given to ploughing back some <strong>of</strong> the<br />

income to the local community. Because there is a cost <strong>of</strong> sustaining wildlife. Wildlife should justify its existence in this area.<br />

Kwa hivyo tunaona community ambayo inakaa na wildlife iangaliwe kwa sababu saa hii ni kama tunachukuliwa kama tuko sawa<br />

na hawa wanyama. Wacha waishi vile wanavyoishi lakini unaambiwa three hundred million, two hundred million imepatikana<br />

kutoka Amboseli lakini mtu wa hapa hata hapati maji ya kunywa.<br />

Com. Bishop Njoroge: I have already given you eleven minutes. I will add you one more.<br />

Daniel Somoire: Thank you. Pia katika system ya Local Government, ninge-propose Local Government election date yao<br />

isiwe ina-tally na ya National Assembly. Kwa sababu unakuta vile watu wana-collude kushikana Councillor na Mbunge, mtu<br />

anafaa awajibike kivyake so it sounds like we are not electing a lineup <strong>of</strong> candidates for the Local Authority and Parliament.<br />

The election time should be separated. Thank you very much.<br />

Com. Bishop Njoroge: Thank you very much Daniel Somoire. Shadrack Lapi na atafuatwa na Ntumei Ole Mwenda.<br />

Shadrack Lapi: Asante. Nitaongea kidogo tu maana sina mengi. Enyewe watu wameongea mengi mengi tu lakini hapa<br />

nikiongeza si makosa ama nikisema si makosa. Watu waliongea habari ya Ma-Chiefs ya kwamba hivi na hivi, Chief inatakiwa<br />

awe. Haiwezekani kukaa bila Chief. Chief anatakiwa awe. Lingine la pili kutoka hilo, inasemekana habari ya Rais na nini na<br />

nini, huwezi kupewa <strong>of</strong>isi na usipewe mamlaka. Ukiwa katika <strong>of</strong>isi, kama sasa nyinyi mnakaa hapa, labda una mamlaka fulani,<br />

na yule <strong>of</strong>isini apewe mamlaka yeyote. Apewe mamlaka na apewe <strong>of</strong>isi. Lingine la tatu nikitoka kwa hiyo, ni habari ya hospitali.<br />

Tukiongea habari ya hospitali, maneno mengi mengi iko ndani. Na tukiongea hapa hivi tunaanza kuonekana ya kwamba<br />

tunafanya kama fitina. Matibabu ya hospitali tupate ya bure. Shule pia ni hivo hivo. Tuwe na elimu ya bure. Lingine la nne<br />

nikitoka kwa hiyo, ni Amboseli area. Amboseli hapo mbeleni ilikuwa ni yetu. Irudishwe katika Local Government na iwe<br />

wananchi nao tufaidike na mali ya nchi yetu.<br />

Majimbo: Tunataka hii nchi iwe ya majimbo. Yangu imeisha. Asante.<br />

Com. Bishop Njoroge: Shadrack umesema mambo mengi ya maana kwa muda mfupi. Asante. Tupate Ntumei Ole Mwenda.<br />

Wapi Chief? Utaongea kwa Kiswahili? Na useme jina lako.<br />

Ntumei Ole Mwenda: Eeh. Mimi naitwa Ntumei Ole Mwenda. Sina mengi, nasema nataka machifu wakuwe. Ya pili, tunataka<br />

masomo iwe ya bure. Ya tatu, hatutaki wale waalimu inasemekana wanatoa watoto shuleni haswa wasichana. Na hao<br />

wasichana warudi shuleni na hao waalimu wachukuliwe hatua kali. Sina mengi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!