constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
21<br />
Translator: Huyo mtu mmoja akichagua Chief anamchagulia watu wenu.<br />
Alais Ole Kisonokoi: Nelotu ilo laiguenani ajo nanu ta otegeluaki neme iyie likitegelua aas ena enayieu.<br />
Translator: Huyo Chief anakuja anasema ya kwamba, “mimi nimechaguliwa na sio nyinyi mmenichagua.”<br />
Alais Ole Kisonokoi: Nikijo oi ena aku na, kake io eneaku na iyiok nagelu.<br />
Translator: Tunapendekeza ya kwamba, Chief awe akichaguliwa na raia.<br />
Alais Ole Kisonokoi: Ore ene mwisho na ata na eishua kulikae tunganak enetejo najo ashe te ina kiti muda nanoto.<br />
Translator: Ni hayo tu, asante.<br />
Com. Bishop Njoroge: Mzee, kuja ujiandikishe, asante kwa maneno yako mazuri. Mtungeyi Mpaaye.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Mimi kwa majina naitwa Mtungeyi Ole Mpaaye na maoni yangu ni hivi. Nazungumza kwa Kimasai kwa<br />
sababu mimi ni Mmasaai na hiyo lugha ndio najua kuliko Kiswahili. Najo na iji, ore duat ai na iji etiu.<br />
Translator: Maoni yangu ni kama yafuatayo.<br />
Mtungeyi Mpaaye: kidol ajo ore na ntokitin apa nikiata tenejokini na iyiok maiturai ena kishon e tata na kiata baa<br />
kumok nikijo amu otunguaye ore peasayu negelieki iyiok ana olopenye enkop.<br />
Translator: Kulingana na mambo ama maisha ya sasa, kuna mambo mengi yanatendeka ambayo ni ya kusaidia lakini inapaswa<br />
kuwa tunaulizwa kwanza kabla haijatendeka.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Ana e Amboseli.<br />
Translator: Kama vile Amboseli.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Amu ore apa enaibungayieki naake mikiyiolo.<br />
Translator: Maana Amboseli ilipochukuliwa, hatukuhusishwa kama wakaaji wa sehemu hii.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Nikidolita ajo enkop ang apa etipat oleng.<br />
Translator: Na tunaona ya kwamba ni area yetu ambayo ni area ya mojawapo muhimu zaidi.<br />
Mtungeyi Mpaaye: Na tenewaki apa mikiyiolo faida enye nikietuo aiyiolou.<br />
Translator: Na kama ilichukuliwa kabla ya sisi kujua faida yake, sasa tumeshajua faida.