constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
7<br />
Imebaki ngapi hapo?<br />
Com. Bishop Njoroge: Nakupatia dakika mbili.<br />
Francis Ole Legis: Ama hutaki hilo swali Honourable Commissioner? Sasa - na kweli nimesoma, karibu nimalize. Kwa hivyo<br />
- nilikuwa nimesema nimetanguliza hiyo - kusema yale mambo ya nchi. Kama tunavyojua Wamaasai wafikiriwe maana bado<br />
wako nyuma. Let us know, kama tukiendelea kuachwa kama vile walivyo, there is a fear - to avoid vitu mbili. The Maasai being<br />
sub-merged by other tribes. Kitu ya pili, a situation like that in Namibia - although not by the Government but by the people.<br />
Also, that which we nearly saw happening in Narok and Subukia. To do that, this is why I suggested, we should have a land<br />
buying committees owned and led by the Maasai and they will know who to sell to and who not. Kwa hivyo Bwana<br />
Commissioner nimemaliza.<br />
Com. Bishop Njoroge: Utakwenda pale na memorandum yako. Umeona sasa umezungumza mambo ya maana. Tupate Rev.<br />
E. Ole Ntoipo.<br />
Rev. Elias Ntoipo: Mimi kwa maoni yangu katika Constitution - jina langu ni Rev. Elias Ntoipo. Nitazungumzia mambo<br />
machache juu juu kwa sababu kuna memorandum hapa ambayo nitapeana. Nitazungumzia juu ya ardhi. Ardhi na rasilmali<br />
katika nchi ya Wamaasai. Ni kwamba Constitution ama Katiba hii ambayo tunaiandika, iweze kuilinda nchi ya pastoralists.<br />
Wamaasai wakiwa sehemu moja ya pastoralists. Kwa sababu watu wanapoona sehemu zile za nyanda za chini, wanasema<br />
hakuna watu. Wanasema hakuna kilimo na tukianza sote mambo ya kilimo, basi ya watu wengine kama Wamaasai inaharibika.<br />
Kwa hivyo katika land, land ya Wamaasai iwe protected. Kusiwe tena na Land Control Board, kuwe katika Constitution,<br />
Customary Land Control Board ili Wamaasai waweze kugawa nchi yao.<br />
Kwa sababu kwa wakati huu, ni kama Land Adjudication iliy<strong>of</strong>anyika ilikuwa njia ya kunyang’anya Wamaasai nchi. Pia na<br />
agreement zilizotelewa 1914-1911, haikuwa agreement kwa sababu, Lenana hakuwa kiongozi wa Wamaasai, so the question is<br />
this: Isipokuwa Lenana nani alikuwa hapo? Hakuna aliyekuwa hapo. Kwa hivyo hakukuwako na agreement yeyote kati ya<br />
Wamaasai na British. Jambo lingine ni kwamba sehemu ya Nakuru, Laikipia, sehemu ambayo bado haijakaliwa ambayo bado<br />
Wazungu wanakalia, ni heri irudishiwe Wamaasai maana ni nchi yao. Amboseli iwe chini ya Wamaasai, a part <strong>of</strong> Tsavo West na<br />
Chyulu hills ambayo ilichukuliwa na National Park. Hizo resources zote ziweze kurudishwa kwa Wamaasai ili waweze<br />
kuendeleza kwa ajili ya kazi zao.<br />
Nikija kwa upande wa education: Education pia ni kwamba tumekuwa watu ambao wamekuwa neglected sana. Hakuna regime<br />
ambayo imezangatia elimu ya pastoralists. Economy haijazingatia, zile ziko hazijazingatia na kwa hivyo tunataka quota system<br />
katika University, vile vile Pastoralists. Na University ijengwe katika nchi ya pastoralists ili kuweka wao motisha ya kwamba<br />
kuna elimu baada ya Secondary. Hiyo nayo tunahitaji Constitution iweke kwamba elimu ya pastoralists izingatiwe na kulindwa ili