27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

17<br />

quota system ya education. Because zile subjects tunaz<strong>of</strong>anya ni moja everywhere. Mtihani ni mmoja. Kwa nini mtoto hapa,<br />

apate marks six hundred, mwingine huko chini apate five ama apate four hundred, na kuwe ule wa four hundred anaenda shule<br />

nzuri kuliko huyu wa six hundred. Mtihani ulikuwa mmoja, mwalimu amefundishiwa pahali moja. So, iwe mtoto kutoka pale<br />

mwanzo mpaka mwisho, watachukuliwa kulingana na mapato yao.<br />

Kitu kingine ni Local Government. Local Government hawafanyi kazi yao. Local Government hatuoni kazi yao. Kazi ya Local<br />

Government iwe wamepangiwa kazi fulani, kama ni kuweka maji area hii, waweke maji. Kama ni barabara wamepangiwa,<br />

wawe kazi yao ni ya barabara. Lakini sio pesa tu ziwe zinatumika tu na hata hatuelewi vile zinavyotumika. Thank you.<br />

Com. Bishop Njoroge: Kuna swali.<br />

Com. Lethome: Umesema mtu akitaka kuuza mali yake, let’s say mtu anataka kuuza land, mtu awe na uhuru wa kuuza kile<br />

anachotaka, uwe ni mbaya uwe ni mzuri, asiingiliwe. Na je unaonaje kwa mfano kama family itakuwa involved katika hilo<br />

shamba? Hiyo ndio unaita kuingiliwa kama bibi na watoto - is that what you are suggesting?<br />

Paul Njuguna: A family is a part <strong>of</strong> you. So, you are - kuhusu, familia sasa ndio nimewalifikiria hilo jambo.<br />

Com. Lethome: Swali lingine. Kuna mahali pengi tumeenda na watu wamesema kazi ya Chief ni muhimu sana kwa sababu<br />

yuko karibu na watu. Lakini wamesema Chief wawe wakiwa-transferred katika eneo lingine katika district hiyo au division hiyo.<br />

Unafikiria hiyo itaondoa shida hiyo ukiwa na kisasi na Chief? Chief aweko, lakini can be transferred within the division or the<br />

district.<br />

Paul Njuguna: Ndio nilikuwa nauliza, kuna haja gani ya kuwa na Chief na kuwa na D.O. ambaye amesoma? The best thing ni<br />

kuwa na D.O. ambaye amesoma hata kama watakuwa watatu, waje wafanye ile kazi ya Chief. Lakini si kuwe na Chief ambaye<br />

hawezi kuondoka pahali pale kwenye kijiji.<br />

Com. Bishop Njoroge: Can we have Paul Mwangi?<br />

Paul Mwangi: Jina langu ni Paul Mwangi. Kwa maoni yangu ningeonelea, Administration iliyoko kwa wakati huu iendelee<br />

lakini katika upande wa Chief, tubadilishe. Tuwe, badala yake, tuwe na Councillor ambaye ana nguvu. Ule mshahara ambao<br />

unalipwa Chief, uongezwe kwa Councillor ndio miaka mitano ikiisha, yule Councillor tunaweza kumuondoa na kuweka mtu<br />

mwingine.<br />

Pia, ningeonelea tuwe na Prime Minister ambao watasaidiana kazi na President. Katika uajiri kwa Serikali kama vile Electoral<br />

Commission, Central Bank <strong>of</strong> Kenya navitu kama hivyo. Watuambayo ni makubwa ambao wanateuliwa na Rais, mpaka

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!