constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
17<br />
quota system ya education. Because zile subjects tunaz<strong>of</strong>anya ni moja everywhere. Mtihani ni mmoja. Kwa nini mtoto hapa,<br />
apate marks six hundred, mwingine huko chini apate five ama apate four hundred, na kuwe ule wa four hundred anaenda shule<br />
nzuri kuliko huyu wa six hundred. Mtihani ulikuwa mmoja, mwalimu amefundishiwa pahali moja. So, iwe mtoto kutoka pale<br />
mwanzo mpaka mwisho, watachukuliwa kulingana na mapato yao.<br />
Kitu kingine ni Local Government. Local Government hawafanyi kazi yao. Local Government hatuoni kazi yao. Kazi ya Local<br />
Government iwe wamepangiwa kazi fulani, kama ni kuweka maji area hii, waweke maji. Kama ni barabara wamepangiwa,<br />
wawe kazi yao ni ya barabara. Lakini sio pesa tu ziwe zinatumika tu na hata hatuelewi vile zinavyotumika. Thank you.<br />
Com. Bishop Njoroge: Kuna swali.<br />
Com. Lethome: Umesema mtu akitaka kuuza mali yake, let’s say mtu anataka kuuza land, mtu awe na uhuru wa kuuza kile<br />
anachotaka, uwe ni mbaya uwe ni mzuri, asiingiliwe. Na je unaonaje kwa mfano kama family itakuwa involved katika hilo<br />
shamba? Hiyo ndio unaita kuingiliwa kama bibi na watoto - is that what you are suggesting?<br />
Paul Njuguna: A family is a part <strong>of</strong> you. So, you are - kuhusu, familia sasa ndio nimewalifikiria hilo jambo.<br />
Com. Lethome: Swali lingine. Kuna mahali pengi tumeenda na watu wamesema kazi ya Chief ni muhimu sana kwa sababu<br />
yuko karibu na watu. Lakini wamesema Chief wawe wakiwa-transferred katika eneo lingine katika district hiyo au division hiyo.<br />
Unafikiria hiyo itaondoa shida hiyo ukiwa na kisasi na Chief? Chief aweko, lakini can be transferred within the division or the<br />
district.<br />
Paul Njuguna: Ndio nilikuwa nauliza, kuna haja gani ya kuwa na Chief na kuwa na D.O. ambaye amesoma? The best thing ni<br />
kuwa na D.O. ambaye amesoma hata kama watakuwa watatu, waje wafanye ile kazi ya Chief. Lakini si kuwe na Chief ambaye<br />
hawezi kuondoka pahali pale kwenye kijiji.<br />
Com. Bishop Njoroge: Can we have Paul Mwangi?<br />
Paul Mwangi: Jina langu ni Paul Mwangi. Kwa maoni yangu ningeonelea, Administration iliyoko kwa wakati huu iendelee<br />
lakini katika upande wa Chief, tubadilishe. Tuwe, badala yake, tuwe na Councillor ambaye ana nguvu. Ule mshahara ambao<br />
unalipwa Chief, uongezwe kwa Councillor ndio miaka mitano ikiisha, yule Councillor tunaweza kumuondoa na kuweka mtu<br />
mwingine.<br />
Pia, ningeonelea tuwe na Prime Minister ambao watasaidiana kazi na President. Katika uajiri kwa Serikali kama vile Electoral<br />
Commission, Central Bank <strong>of</strong> Kenya navitu kama hivyo. Watuambayo ni makubwa ambao wanateuliwa na Rais, mpaka