27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

87<br />

sababu yeye ni M<strong>kenya</strong>.<br />

Kuhusu elimu: Ningeomba elimu, kwanzia darasa la kwanza hadi la tano, katika shule za msingi, watu wafundishwe. Watoto<br />

wawe wakielimishwa lugha zao, lugha za tamaduni zao. Kwa sababu kumekuwa na shida kwamba, watu wamebadilika sasa si<br />

Wa-Afrika, wamekuwa Wazungu na huku bado ni Wa-Afrika. Unakuta Mmaasai hajui Ki-Maasai, hajui lugha yake yeyote ile<br />

na hawezi kutumikia ile jamii.<br />

Basi ningeonelea tu kwamba elimu za shule za msingi kwanzia darasa la kwanza hadi la tano, wawe wanafundishwa lugha za<br />

tamaduni zao kama ni Mkikuyu, afundishwe kwanzia darasa la tano, akifika kule mbele atakuwa amejua at least anaweza<br />

kuzungumza na watu wale wengine hawajui Kiswahili ama Kiingereza. Mimi sina mengine mengi ila ninashukuru kwa kupata<br />

nafasi hii na Mungu awabariki sana. Asante.<br />

Com. Bishop Njoroge: Asante sana. Nenda ukajiandikishe. Ningetaka wale wote ambao hawajazungumza waje hapa mbele.<br />

Wale ambao hawajazungumza na wangependa kuzungumza. Wale hawajazungumza na wangependa kuzungumza, tafadhali mje<br />

hapa mbele. Njoo Mzee, njoo hapa. Njoo mpaka hapa. Mwambie aje hapa mbele kabisa. Nataka aje hapa aketi. Nataka<br />

mkae hapa kiti cha mbele. Everybody who wants to talk, kwa sababu karibu tunafunga. Wewe unataka kuzungumza? Nasema<br />

mje hapa mbele. Na wewe Mzee. Hebu muulize huyo Mzee yuko nyuma? Njoo hapa. Msongee. Wewe huko nyumba unataka<br />

kuzungumza? Njoo hapa. Sasa tutaenda, tuanze pale, hivyo mpaka tumalize. Haya, Mzee.<br />

Lepapa Ole Potu: Kaji Lepapa olole Potu.<br />

Translator: Anaitwa Lepapa Ole Potu.<br />

Lepapa Ole Potu: Nairo nkutiti tokitin.<br />

Translator: Anasema ataenda kuongea tu machache kuhusu Katiba.<br />

Lepapa Ole Potu: Ore ta ena toki nairoritae naji Katiba ole eikinyor nai tenemutu eton doi eitu eisik lewa.<br />

Translator: Anasema Katiba kweli tunapenda sana irekebishwe kama ni jambo la kweli linafanywa.<br />

Lepapa Ole Potu: Paeikitumoki ena aji emaa amu tenemutu nai eetai iltunganak oumisate na ke iyiok.<br />

Translator: Na hasa sisi katika jamii hii ya Wa-Maasai kwa sababu sisi tumeumia sana kwa muda mrefu.<br />

Lepapa Ole Potu: Ana enigira adol nayiolo sinanu entoki oshi nimikiata nata enkae serikali.<br />

Translator: Anasema kwa sababu yeye anaona kama ni watu wamepungukiwa sana na huduma ya Serikali.<br />

Lepapa Ole Potu: Amu tena enkerai esukul eta kudol oshon kulikae kiata siyiok.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!