27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

63<br />

ni vizuri sana kama computer lessons zingekuwa compulsory kwa kila mwanafunzi. Kwa sababu kuna mashule mengi hawana<br />

computer. Kwa hivyo ni vizuri kama ingekuwa compulsory kwa kila mwanafunzi.<br />

Pia usalama shuleni. Mashule mengi hayana usalama. Ni vyema kama Serikali ingepeana usalama huko shuleni ili mambo kama<br />

kuchomwa kwa wanafunzi, kesi kama hizo ziishe. Pawe na usalama. Masomo kama ya hesabu ama haya ya science, masomo<br />

haya yamekuwa magumu sana na hapo mbeleni ukiangalia ni vyema, watu walikuwa wanafanya vizuri haya masomo. Kwa hivyo<br />

inamaanisha kuna jambo fulani ambalo limefanya au vitu vimeongezwa, haya masomo yakawa magumu mno. Kwa hivyo ni<br />

vyema kama ingerahisishwa ili angalao wanafunzi wawe wakipita maana mbeleni walikuwa wanapita lakini sasa hawapita.<br />

Kumaanisha ya kwamba kuna vitu ambavo viliongezwa huko ambazo zinasababisha wanafunzi waanguke.<br />

Com. Bishop Njoroge: Unasema standard iletwe chini ili wanafunzi wapite?<br />

Josephat Kilungu: No.<br />

Com. Bishop Njoroge: Sema yako ya mwisho.<br />

Josephat Kilungu: Langu la mwisho, Muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashiriki. Ingekuwa ni vizuri sana, wakati viongozi<br />

wanakutana kwenda kutoa maoni yao katika Muuongano wa East Africa, ni vyema pia kama wanafunzi wangepewa nafasi<br />

wanashiriki katika hiyo mikutano ndio tujue ni nini inaendelea. Kwa hayo machache, nashukuru sana.<br />

Com. Bishop Njoroge: Thank you very much. Very clear thinking, come here and register. I wish you well in your studies.<br />

Tupate Esther Wangechi. Karibu.<br />

Esther Wangechi: Nashukuru sana kwa nafasi hii ambayo ninakuja kutoa maoni yangu kuhusu Katiba. Jina langu ni Esther<br />

Wangechi kutoka shule ya upili ya Ilasit. Kwa maoni yangu, ningependa katika kila shule kuwe na hii <strong>of</strong>isi ya guiding and<br />

counseling. Ukiangalia wanafunzi wengi, wengine wanaacha shule kwa kukosa mawaidha.<br />

Jambo la pili shule ziongezwe. Shule na pia waalimu waongeze ili elimu katika mashule iwe bora. Jambo lingine ni, ukiangalia si<br />

wazazi wote wana uwezo wa kuwasomesha vyema watoto wao. Kwa hivyo ningependelea Serikali ipeane kama ni bursaries za<br />

shule na pia vitabu hizi za textbooks ili wanafunzi waweze kufaulu vizuri.<br />

Jambo lingine ni elimu ya wasichana. Wanafunzi wasichana wapewe nafasi ya kusoma katika viwango vyote vya elimu.<br />

Ukiangalia wanafunzi wengi hawamalizi shule maana wanaozwa. Jambo lingine ni usawa wa vifaa katika mashule. Ningependa<br />

mashule yote yawe na usawa wa vifaa. Si kwamba mashule mengine ni bora kuliko mengine. Kwa mfano katika maabara, vifaa<br />

viwe sawa katika shule zote.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!