27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

12<br />

itarudishwa kwetu tukiona ya kwama yeye hafai. Na kwa hivyo tutarudishiwa na wananchi watapewa maoni yao. Wakishatoa<br />

yale maoni, yale maoni ndio yatapelekewa wale Ma-MP na vote <strong>of</strong> no confidence ambayo itakuwa ni fifty five percent.<br />

Ikipitishwa basi yule President anatoka na tuna-elect another President.<br />

Huduma za lazima: Huduma za lazima ni kama elimu, health na kadhalika. Sasa katika huduma za lazima, kwanza katika elimu.<br />

Elimu ni muhimu katika nchi na kwa hivyo, lazima elimu iendelezwe na wale ambao ni pr<strong>of</strong>essional. Sio mtu tu ambaye hawezi<br />

kuendeleza elimu. Wanasiasa wameachiwa mamlaka mengi sana katika kuendeleza elimu. Kwa mfano tukichukua 8-4-4,<br />

ilikuwa ni elimu mzuri lakini kwa sababu wanasiasa waliingilia, wa leo utakuta kwamba inaonekana ni kama sio chombo<br />

ambacho kilikuwa ni cha muhimu. Na ingali ilikuwako ni kumsaidia yule mtoto, akitoka nje iweze kumsaidia katika pande<br />

mbalimbali. Kwa hivyo maoni yangu ni kwamba pr<strong>of</strong>essionals waachiwe ku-draw the curriculum na waachiwe pia kuendeleza<br />

katika elimu. Pia health hivyo hivyo.<br />

Biashara zimewekwa vikwazo vingi sana. Lazima uwe na licence, pia kodi ziko nyingi nyingi na hizo kodi utakuta ya kwamba<br />

yule, kama ni kijana ama ni mzee ambaye amekuwa retrenched or so, hawezi akaendeleza ile biashara kwa sababu ile kodi<br />

iliyoko ni nyingi sana. Kwa hivyo kodi iondolewe katika pande za biashara na hata ikiwa ni katika mambo ya kutoa vitu hivi,<br />

kama ni biashara kidogo kidogo, mama anakwenda jikoni kununua vitu vidogo vidogo, hizo biashara zimewekwa kodi ya aina<br />

yeyote, ziondolewe.<br />

Com. Bishop Njoroge: Bwana Philip, umetumia dakika kumi, nakupatia dakika moja.<br />

Philip Leshinka: Sasa tunaanza mashamba. Mashamba wakulima wapatiwe mbegu kwa sababu ukulima ni uti wa mgongo<br />

katika nchi hii. Wapatiwe mbegu na chemicals za kuweza kuondoa wadudu na kadhalika. Pia soko wakulima wapatiwe.<br />

Halafu jambo la mwisho ni juu ya mazingira. Mazingira ni jambo la muhimu zaidi na ni lazima kila mtu ahimiziwe kuweka<br />

mazingira safi. Kama ni mambo ya ukataji wa miti, ukataliwe mbali, kama ni mambo ya kwenda kulima kando kando ya mito,<br />

ukataliwe mbali. Kama ni mambo ya kuenda kukata miti, pahali ambapo vianzo vya maji zipo, ukataliwe mbali. Na ni hayo tu.<br />

Com. Bishop Njoroge: Tupate Bernard Kamau.<br />

Bernard Kamau: Asante sana kwa kunipa muda wa kusema. Kitu cha kwanza, pesa ya Serikali inatakiwa itoke kwa Bunge.<br />

La pili, jina ukabila lipigwe marufuku hata ikiwa ni kwa mkutano. Ya tatu, tunatakiwa tuwe tukiuliza maswali kwa mkutano. Ya<br />

nne, Kenya inatakiwa kuwe na vyama vitatu. Ya tano, Mbunge angetoka chama hiki, aende chama kingine, kusifanywe<br />

uchaguzi tena, kukae namna hiyo. Yangu ni hayo.<br />

Com. Lethome: Neno ukabila umesema liwe katika mkutano? Hebu fafanue.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!