constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
52<br />
Com. Bishop Njoroge: Asante sana. Tupate Maeleshi Ole Ntwasa. Joshua Gathegi. Amina Abdullahi. Anafuatwa na David<br />
Toniki. David Toniki yuko? Ibrahim Kailepi? Yuko?<br />
Amina Abdullahi: Kwa jina mimi ni Amina Abdullahi na ningependa kuzungumzia habari ya wamama. Urithi wa wamama,<br />
usiingiliwe na familia ama late husband’s brother. Mali yake isimamiwe na mama na watoto wake. Ya pili, girl-child education.<br />
Lazima tuzingatie girl-child education chini ya miaka kumi na tano, kuoa msichana wa miaka hiyo, ashitakiwe na sheria.<br />
Economy <strong>of</strong> land and natural resources: Development ya economy, lazima 10% ama 20% iwe inajulisha akina mama.<br />
Pesa za umma za Serikali: Lazima pesa za umma zijulishwe umma na isitumiwe kwa kuibiwa ama kutumiwa ovyo ovyo. Kila<br />
umma itumiwe. Ziwe certain groups, wachaguliwe kama private, wasuluhishe pesa zao vile wataweza kuzitumia. Public and<br />
private land need to be based on a clear framework.<br />
Culture: Utamaduni wetu sisi Waafrika tusiwache hasa kwa upande wa wasichana, tohara yao, kila mtu ana tabia yao. Maasai,<br />
Somali, Samburu, lazima ipitie kwa elders. Thank you.<br />
Com. Bishop Njoroge: Asante sana Mama Amina kwa maoni hayo. Ibrahim.<br />
Ibrahim K. Kailepi: Mimi naitwa Ibrahim Kailepi kutoka eneo ya Lasiti. Maoni yangu; Rais achaguliwe na umma. Rais akija<br />
aweke (inaudible) yeyote ya nchi yake, wananchi wapewe nafasi ya kuuliza maswali Rais. Watoe maoni yao mbele ya Rais.<br />
Kwa sababu Rais akija tu hivi, raia aruhusiwe kusema nia yao mbele ya Rais. Tena, pahali kuna vyama vingi, inaweza kuwa<br />
mwenye chama fulani ana maoni ya kutoa shida ya area yao lakini hajapewa nafasi na msimamizi wa area hiyo. Kwa hivyo Rais<br />
akisha chaguliwa, raia apewe nafasi ya kusema shida zake.<br />
Mahakama: Kungestahili kuwe na wazee wa mahakama kwa sababu wazee wa mahakama wanaweza kiutetea mtu mchanga.<br />
Kwa sababu siku hizi mahakama wanategemea pesa. Inaweza kuwa wazee wa mahakama watamtetea mtu mnyonge.<br />
Shule: Shule hasa Sekondari, katika Sekondari kamati za board zivunjwe, P.T.A. ipewe isimamie shule zao. Wazazi wasimamie<br />
shule zao. Wajue pesa ya shule inaenda aje, maendeleo ya shule inaenda aje. Itolewe kamati za boards kwa sababu boards,<br />
unakuta mfanyikazi yuko katika idara fulani, ambaye anakuja kuchukua hizo pesa, hana mtoto katika shule hiyo. Kwa hivyo<br />
hana uchungu na pesa ya shule hiyo. Mwalimu Mkuu akipatikana na kosa siku hizi hachukuliwi hatua kisheria anapigwa transfer<br />
shule zingine. Sasa ameumiza shule hii, bado ataenda kuumiza shule ile. Kwa hivyo achukuliwe hatua ya kisheria na sio transfer.<br />
Vijijini: Vijiji yafaa tuwe na wazee wa vijiji. Wazee wa vijiji watakuwa na nafasi ya kujua shida za wananchi wao. Kwa sababu<br />
wenye shida, watakuwa na shida ya kuuza ardhi yao. Lakini wale wazee wa vijiji wataahidi kuwa huyu mtu anauza shamba bila<br />
sababu maalum ama vile kwa sababu inajulikana tabia yake. Kwa hivyo wale wazee wa vijiji wapewe nguvu ya kusimamia vijiji