constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
72<br />
nikiyieu na tenkaraki oltungani loiti ene majimbo naatae oltunganak oti Oloitokitok.<br />
Com. Lethome: Kwa hivyo majimbo iwe katika kiwango gani?<br />
Translator: Anasema ya kwamba Majimbo kama kuna wakaaji wanaoishi katika hii sehemu, wawe chini ya hilo jimbo la hiyo<br />
sehemu ama hiyo wilaya. Yaani kulingana na vile anavyoelezea ni kwamba angetaka iwe kwanzia ngazi ya juu mikoani mpaka<br />
wilayani. Ndio anasema.<br />
Com. Lethome: John Komoi. Afuatwe na Tairiam Malinka.<br />
John Komoi: Kwa majina mimi naitwa John Theiya Komoi, mkaaji wa Loitoktok. Kwanza nikianzia na uchaguzi, ningetaka<br />
Rais awe anachaguliwa na wananchi wote na pia awe na siku ya kuchagua uchaguzi wa Rais peke yake, ule wa Wabunge na<br />
Ma-Councillor, siku ziwe t<strong>of</strong>auti.<br />
Pia la pili tungetaka katika <strong>of</strong>isi ya Rais, watu kama Katibu Mkuu, cheo cha Katibu Mkuu iondolewe kwa kuwa mimi sioni<br />
kuwepo na Katibu Mkuu na pia kuna Waziri ndani ya hiyo <strong>of</strong>isi.<br />
Com. Lethome: Permanent Secretaries?<br />
John Komoi: Permanent Secretaries. Na ni wizara moja. Iwe Waziri yuko, Katibu Mkuu yuko na sijui nani mwenye nguvu<br />
hapo. Mmoja aondolewe kama huyu Permanent Secretary aondolewe, iwe Waziri peke yake ndio wanahudumu katika hizi<br />
<strong>of</strong>isi.<br />
Nikija upande wa ukulima maana mimi ni mkulima wa Loitoktok niseme kwa kweli soko huru hii ambayo ililetwa inatuumiza sisi<br />
kama wakulima na inaturudisha nyuma sana. Kwa hivyo Katiba ambayo tunayoongea ya kileo, tungetaka itazame na iondolewe<br />
kabisa. Pia nikija upande wa forests ambayo inazunguka eneo zingine, forests za aina yeyote katika Kenya hii yetu. Ningetaka<br />
wale wananchi ambao wanakaa karibu wawe ndio watawala wa ile forests na wawe ndio wanaangalia masilahi ya zile forests<br />
kuliko forester ambaye anatolewa kutoka pengine Mt. Kenya ama anatolewa kutoka Pwani, anakuja kumiliki ile forest,<br />
anafanya kama mali yake. Wale wananchi wanao zunguka zile forests wanakosa kuelewa ile forest inawaaidia kwa njia gani.<br />
Wanakosa matumaini, haina faida yeyote ambayo wanapata. Inakuwa kama ni mali ya yule forester ambaye amewekwa pale.<br />
Upande wa elimu: Ningependa elimu iwe kama zamani. Iwe kwamba elimu ni ya bure kwanzia nursery mpaka form four.<br />
Lingine kwa upande wa Amboseli areas ama sehemu ambayo ilinyakuliwa kitambo kabla sisi hatujazaliwa pengine ilikuwa<br />
imeshanyakuliwa. Tungetaka irudishiwe wale wananchi ambao ni area zao zilinyakuliwa. Nikisema hivyo nasema tu, sio area ya<br />
Ki-Maasai peke yake maana Wa-Taita wako karibu na sisi, pengine wao wamenyakuliwa ardhi yao. Kwa hivyo ningetaka