constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
14<br />
Kwa hivyo katika Africa, ningependa Rais awe na mamlaka lakini mamlaka yake iwe reduced na Prime Minister apewe ingine<br />
lakini President awe na say ili aweze kutawala nchi.<br />
Bunge: Bunge pia iwe na control although wao ni lawmakers. Kwa sababu, kama mnavyoona, wamejipatia mishahara mikubwa<br />
na wao kama lawmakers, wangekuwa fair. Maana civil servants, the labour force hata wao wangeinuliwa ile mishahara.<br />
Mishahara ya wabunge na civil servants ama wafanyikazi wa Serikali, iwe kidogo – Ikiwa kama hiyo sasa ni mingi, iwe<br />
reduced na igawanyiwe wananchi wengine wa Serikali maana wanafanya kazi muhimu katika Kenya. Ili hiyo nafasi ipewe<br />
wengine ambao wako chini na wengine wako juu. Nafikiri wakati huo watakuwa fully independent <strong>of</strong> the people. Maana hata<br />
sasa, raia wanalia. Hata ingawa wanawatala na kuwaongoza kwa sababu ya pesa nyingi ambazo wamejipatia kwa sababu<br />
wanataka mamlaka ya kufanya hivyo.<br />
Jambo lingine ni KWS: Elephant problems and their destruction. Ningependa KWS katika hapa UMaasaini ama pastoralists,<br />
wanyama wale wako katika national parks ni wachache na wale wako katika group ranches ni wengi kuliko wale ambao wako<br />
katika council.<br />
Sasa, international donors wanatuma pesa nyingi kwa sababu ya hawa wanyama wa porini ili ile ecosystem ambayo sasa<br />
wanataka kusaidia community kwa kupata hiyo pesa. Lakini hiyo pesa ni kidogo inakuja kwa wananchi, kwa community. Pesa<br />
nyingi inachukuliwa na wale wasimamizi wakubwa ambao wanafanya kazi katika KWS. Hiyo pesa yote iwe ikiingia kwa wale<br />
wananchi ambao wanyama hawa wanawaua, wanaharibu mimea yao na wanaua ng’ombe zao na kueneza tickborne disease.<br />
Pia ili wananchi wafurahi na waweze ku-conserve wale wanyama wa porini kwa njia ile ambayo inafaa kwa sababu tunajua ya<br />
kwamba, wanaletea Kenya pesa nyingi za kigeni.<br />
Nikija katika Provincial Administration, mimi ninaunga mkono Provincial Administration waendelee. Bwana Commissioner,<br />
ulikuja saa hii na ukampongeza D.O. kwa sababu ya ile arrangement amefanya mpaka hii kazi yote inafanywa. Tena ukiangalia<br />
amani na ushirikiano wa wananchi uko. Kama Provincial Administration ikiondolewa, iwe ni politician kama mimi ama kama<br />
wengine, tuta-create tribalism, nepotism na mambo yale mengine ambayo ni tajiri ya kila community. Na Provincial<br />
Administration - huyu D.O. ametoka Mandera, lakini mimi nikiingia hapa nina-clan, nina age group, nina party lakini yeye hana.<br />
Anafaa wale wananchi properly vile inavyohitajika kulingana na sheria ya nchi.<br />
Nikija katika Elections - Election process. Tunataka mambo ya elections yasimamiwe na Electoral Commission hata agents<br />
wote, ili kusiwe na rigging. Kuna mambo mengine ambayo hayafai. Ili tupate uchaguzi wa haki, wananchi wapate ule uchaguzi<br />
ambao wanahitaji ambao wao wenyewe wanapenda. Maana kama mimi nikija kutoa agent, huyo agent hatapenda yule mpinzani<br />
wangu na mpinzani wake hatanipenda. Hata wale wa ku-decide ni sisi raia, tunaangalia tunampa kiti na sisi ni binadamu. Lazima<br />
Wamaasai wampatie kiti na sheria inapotea hapo tunataka kila kitu kichukuliwe na Electoral Commission - usimamizi wote wa<br />
uchaguzi ili tuwe na fair and just elections.