27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

14<br />

Kwa hivyo katika Africa, ningependa Rais awe na mamlaka lakini mamlaka yake iwe reduced na Prime Minister apewe ingine<br />

lakini President awe na say ili aweze kutawala nchi.<br />

Bunge: Bunge pia iwe na control although wao ni lawmakers. Kwa sababu, kama mnavyoona, wamejipatia mishahara mikubwa<br />

na wao kama lawmakers, wangekuwa fair. Maana civil servants, the labour force hata wao wangeinuliwa ile mishahara.<br />

Mishahara ya wabunge na civil servants ama wafanyikazi wa Serikali, iwe kidogo – Ikiwa kama hiyo sasa ni mingi, iwe<br />

reduced na igawanyiwe wananchi wengine wa Serikali maana wanafanya kazi muhimu katika Kenya. Ili hiyo nafasi ipewe<br />

wengine ambao wako chini na wengine wako juu. Nafikiri wakati huo watakuwa fully independent <strong>of</strong> the people. Maana hata<br />

sasa, raia wanalia. Hata ingawa wanawatala na kuwaongoza kwa sababu ya pesa nyingi ambazo wamejipatia kwa sababu<br />

wanataka mamlaka ya kufanya hivyo.<br />

Jambo lingine ni KWS: Elephant problems and their destruction. Ningependa KWS katika hapa UMaasaini ama pastoralists,<br />

wanyama wale wako katika national parks ni wachache na wale wako katika group ranches ni wengi kuliko wale ambao wako<br />

katika council.<br />

Sasa, international donors wanatuma pesa nyingi kwa sababu ya hawa wanyama wa porini ili ile ecosystem ambayo sasa<br />

wanataka kusaidia community kwa kupata hiyo pesa. Lakini hiyo pesa ni kidogo inakuja kwa wananchi, kwa community. Pesa<br />

nyingi inachukuliwa na wale wasimamizi wakubwa ambao wanafanya kazi katika KWS. Hiyo pesa yote iwe ikiingia kwa wale<br />

wananchi ambao wanyama hawa wanawaua, wanaharibu mimea yao na wanaua ng’ombe zao na kueneza tickborne disease.<br />

Pia ili wananchi wafurahi na waweze ku-conserve wale wanyama wa porini kwa njia ile ambayo inafaa kwa sababu tunajua ya<br />

kwamba, wanaletea Kenya pesa nyingi za kigeni.<br />

Nikija katika Provincial Administration, mimi ninaunga mkono Provincial Administration waendelee. Bwana Commissioner,<br />

ulikuja saa hii na ukampongeza D.O. kwa sababu ya ile arrangement amefanya mpaka hii kazi yote inafanywa. Tena ukiangalia<br />

amani na ushirikiano wa wananchi uko. Kama Provincial Administration ikiondolewa, iwe ni politician kama mimi ama kama<br />

wengine, tuta-create tribalism, nepotism na mambo yale mengine ambayo ni tajiri ya kila community. Na Provincial<br />

Administration - huyu D.O. ametoka Mandera, lakini mimi nikiingia hapa nina-clan, nina age group, nina party lakini yeye hana.<br />

Anafaa wale wananchi properly vile inavyohitajika kulingana na sheria ya nchi.<br />

Nikija katika Elections - Election process. Tunataka mambo ya elections yasimamiwe na Electoral Commission hata agents<br />

wote, ili kusiwe na rigging. Kuna mambo mengine ambayo hayafai. Ili tupate uchaguzi wa haki, wananchi wapate ule uchaguzi<br />

ambao wanahitaji ambao wao wenyewe wanapenda. Maana kama mimi nikija kutoa agent, huyo agent hatapenda yule mpinzani<br />

wangu na mpinzani wake hatanipenda. Hata wale wa ku-decide ni sisi raia, tunaangalia tunampa kiti na sisi ni binadamu. Lazima<br />

Wamaasai wampatie kiti na sheria inapotea hapo tunataka kila kitu kichukuliwe na Electoral Commission - usimamizi wote wa<br />

uchaguzi ili tuwe na fair and just elections.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!