27.11.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

54<br />

Unaenda pale, yeye ndio anatatua kesi na hiyo kesi ingekaguliwa tu na elders wa eneo hilo.<br />

Tukija upande wa hospitali: Hospitali ziwe za bure, maji iwe ya bure na education. Kwa ajili watu wengi wameshakuwa maskini<br />

kabisa kwa ajili mkulima analima shamba, Serikali haitilii maanani huyo mkulima, chakula yake anatoa. Hajui specific price<br />

anaenda kuuza bei gani. Akikula leo mahindi ni shilingi mia tatu, mtoto anatakiwa elfu ishirini na tano Sekondari, kwa hivyo<br />

elimu iwe ya bure.<br />

Madaktari waongezewe mishahara na wanyimwe kufungua clinics. Ukienda especially our district hospital here Loitoktok,<br />

unaenda unaambiwa hakuna dawa, nenda clinic fulani. Na unakuta the same medicine imetoka kwa hiyo hospitali kubwa na<br />

ikaenda kwa hiyo. Kwa hivyo madaktari waongezewe mishahara, wasiwe na biashara yeyote ya hospitali ndogo ndogo kando<br />

ya hospitali kubwa kubwa.<br />

Group ranches at least isimamiwe na wenyeji na iwe na auditing kwa ajili hizi pesa tunapewa na K.W.S haitoshi. Tunataka<br />

iongezwe na iwe na auditing ijulikane hiyo hela kama ingesomesha watoto au ingetumiwa na individual. Unakuta mtu ameenda<br />

kununua gari, amenunua (inaudible) zake, unakuta hizo hela hazi-educate wale members wa group ranches, unakuta ina-educate<br />

mtu fulani kwa ajili ni Chairman. Especially unakuta wengine walikuwa wanasimamia group ranches, they are not helpful for the<br />

area. Unakuta anapewa pesa ya kwenda kusoma kwa masomo ya juu na ingali watoto native, wako nyumbani hawajasoma na<br />

hawajapewa hela ya kuwasaidia. Ni hayo tu.<br />

Com. Bishop Njoroge: Thank you Mr. Kulare. Francis Wambua? Akifuatwa na Paul Njenga. Paul Njenga yuko wapi? Peter<br />

Koptitat yuko? Unamfuata.<br />

Francis Wambua: Asante sana. Kwa majina naitwa Francis Wambua na mimi ni mfanyikazi wa sehemu hii ya Loitoktok.<br />

Ningependa kutoa maoni yangu juu ya hii Commission. Mwanzo ningependa kuangalia katika uchaguzi wa MPs na Councillors.<br />

Nikianzia na uchaguzi wa Rais, Rais angechaguliwa bila kuwa MP mahali popote. Achaguliwe asimame tu kama mtu kwa kiti<br />

cha Rais peke yake. Ili asikuwe mtu wa kupendelea sehemu yake aache sehemu ya nchi yake. MPs nao wachaguliwe watu<br />

ambao wamesoma hasa kwanzia kidato cha Form four. Wawe na elimu ya kutosha, sio watu wa kwenda kulala kwa Bunge,<br />

kuchukua mishahara mikubwa bure. Tukiangalia tena wangetakiwa wakae kwa miaka mitano ili uchaguzi ufanywe tena.<br />

Ya pili ningependa kuongea juu ya Land issues: Ardhi ya Kenya ingetakiwa kuwa ni ardhi ya Serikali na mwananchi kama<br />

angekuwa na kubwa, aruhusiwe kuwa tu na less than fifty acres. Akiwa na zaidi ya hiyo anyang’anywe, ipewe wale ambao<br />

wanaihitaji ambao hawana land na waendeleze. Kama mtu amepewa na hawezi kuendeleza, ichukuliwe ipewe mwingine<br />

anaweza kuiendeleza.<br />

Kabla hujatoka hapo, tumeambiwa hapa kuna watu kama Wa-Maasai ambao ni wafugaji na wanahitaji ardhi kubwa katika

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!