constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
15<br />
Local Authority: Tunataka Local Authority isimamiwe na Serikali kwa sababu ukiangalia kutoka locations, Councillors<br />
wanaenda hapa, all the plots anafanya kama property yake na ni mali ya wananchi wa pale. Inatakiwa all planning, plots ziwe<br />
zikidhibitishiwa pale, ziki-allotiwa pale na ziende kwa wale watu ambao wanastahili kupata badala ya an individual kuja<br />
kuzipatiana kwa watu marafiki na kutumia political party apatie wale watu anapatia ama anyime wengine. Maana plot ni ya all<br />
the parties sio ya party moja. Kama mimi sasa nikiwa Chairman wa KANU, niseme watu wa KANU wapewe, wa D.P.<br />
wasipewe. Hakuna justice hapo. Tunataka plot ziwe pale na watu wote waangalie pale na Provincial Administration ya mahali<br />
pale waangalie na viongozi wengine. Ili wananchi wapate haki yao kama plot ni hali ya kila mtu ambaye ako katika hiyo sehemu.<br />
Com. Bishop Njoroge: Mheshimiwa you have used almost fifteen minutes. So please wind up.<br />
Honourable Sing’aru: National Park: Hapa Maasaini ni national park. Tunataka kama hizi national parks, hizi national parks<br />
zirudishwe kwa wananchi maana wanyama wanatoka ndani ya park, wanakuja kula mashamba na kurudi katika park. Na ng’<br />
ombe hawawezi kuruhusiwa. Tunataka hata ng’ombe waruhusiwe maana wanyama wale wako ndani ya group ranches, are<br />
more than those animals that are in the group ranches.<br />
Education iwe compulsory na tukitaka education iwe compulsory, Chief Act irudishwe maana kuna watu wengine ambao<br />
hawajui faida na maana ya elimu. Ili sasa watoto walazimishwe kwenda skuli.<br />
Ya mwisho ni KMC. Unajua sasa liberalization imeua biashara, mapato ya wakulima hawapati. Hata KMC iko pale kama<br />
picha na haisaidii chochote. Na unajua pastoralists, hawana shamba lingine, hawana kahawa, hawana majani, wanategemea<br />
nyama. Tunataka iwe-revived ili iweze kusaidia wafugaji wa aina yeyote. AFC, isiwe (inaudible) iwe kama bank. Malipo ya hii<br />
AFC iwe kidogo ili iweze kusaidia wananchi ambao wako pale.<br />
Nikimalizia ya mwisho, AFC ziwe banks na interested rates ziwe chini na iwe kama bank. Ya mwisho ni Maasai customary law,<br />
unajua Maasai Customary law, kama mwanaume akifa na bibi hana wavulana ni wasichana, yule mwanamke anafukuzwa.<br />
Tunataka mama akibaki arithi bwana yake katika ardhi na katika property ya aina yeyote.<br />
Political Parties: Tusiwe na mingi kama hizi arobaini na tano, tuwe na four strong political parties katika nchi. Ili mtu akiona, this<br />
party is not good, aingie hiyo ingine. Yangu ni hayo na ninasema asante kwa kunisikiliza. Thank you very much.<br />
Com. Bishop Njoroge: Asante sana Mheshimiwa, utajiandikisha pale. Paul Njuguna.<br />
Paul Njuguna: Asante. Mimi naitwa Paul Njuguna, mfanyibiashara Loitoktok na pia Secretary wa DP katika location. Kwa